Nimemfuma mke wangu akiliwa uroda daaah! Nimemuomba msamaha na yeye ameniomba msamaha tumesameana

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Ila shida nimemzoea nikimuacha nitampata wapi mwingine? Na ukiangalia mie mwenyewe ni domo zege huku mwanamke nimemoata kibahati nilikutana nae pale mbagala rangi tatu nyuma ya stendi ya magari ya kusini pale akijiuza na nilimchana akanirlewa sana

Mwanzoni alionekana kubadilika sana hakutaka kusikia kitu kinachoitwa kunisaliti kabisa aisee demu anayajua sana aisee ndiyo maana sitaki kumuacha hata kwa dawa.maana amenikamata sana yaani kiuno feni aisee sio poa kabisa wakuu

Sasa jana nimemfuma akiliwa uroda na mshikaji mwingine tena nyumbanj kwangu daaah😧😧😧😧 daaah ila.jamaa akaniambia hajamla bali walikuwa wanaoga tu ila sasa kinachonishangaza kwanini wote walikuwa uchi? Jamaa nikamruhusu atoke na mke wangu akaniomba msamaha na nikamuomba msamaha tunaendelea na mapenzi yetu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aise Mungu nihurumie
 
Wewe ni mgonjwa
 
Sawa
 
Donatila ,njoo uone chai nyingine hii hapa.

Mimi sijajisumbua kusoma kilichoandikwa ndani,nimesoma title tu nimegundua hii ni kamba ya kushikiria nanga ya meli(ngamia) kabisa.
 
Acheni habari za uongo uongo ili mpate comments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…