Nimemfuma mke wangu akiliwa uroda daaah! Nimemuomba msamaha na yeye ameniomba msamaha tumesameana

Nimemfuma mke wangu akiliwa uroda daaah! Nimemuomba msamaha na yeye ameniomba msamaha tumesameana

Attachments

  • Of Participation.png
    Of Participation.png
    1 MB · Views: 4
Ushimen ona hii nimepewa vyetu vyako umefuzu ukichaa milembee hadi umepewa cheti
 

Attachments

  • Of Participation (1).png
    Of Participation (1).png
    1 MB · Views: 4
Aha umeona certificate eh nikununulie zawadi gani??
Umepona kurogwa?? Kwahiyo ndio umetoka milembe umebeba na mivyeti yako, badala ya kuchukua dose ya kumeza ukiwa uraiani!! 🤣🤣🤣
 
Umepona kurogwa?? Kwahiyo ndio umetoka milembe umebeba na mivyeti yako, badala ya kuchukua dose ya kumeza ukiwa uraiani!! 🤣🤣🤣
EH nani kapewa cheti kama sio wewe mpendwa mie umeona yangu hujaona nyie na Ushimen mmepewa vyeti mmefuzu ukichaa nyie ni vichaa
 
EH nani kapewa cheti kama sio wewe mpendwa mie umeona yangu hujaona nyie na Ushimen mmepewa vyeti mmefuzu ukichaa nyie ni vichaa
Da mau ukiwaga na genye akili zinahamiaga matacle ni, sio kosa lako mwezi mchanga…!!
Halafu usinichoshe usije kuniambukiza uchizi bana unikwoti kwa vitu vya kueleweka… mxiewwww!!
 
Uongo umekuwa mwingi sana kwa vijana wa JF wa siku hizi.
Ombea tu mkeo kudinywa iko siku na wewe mwenyewe utaliwa tyakko.
 
Ila shida nimemzoea nikimuacha nitampata wapi mwingine? Na ukiangalia mie mwenyewe ni domo zege huku mwanamke nimemoata kibahati nilikutana nae pale mbagala rangi tatu nyuma ya stendi ya magari ya kusini pale akijiuza na nilimchana akanirlewa sana

Mwanzoni alionekana kubadilika sana hakutaka kusikia kitu kinachoitwa kunisaliti kabisa aisee demu anayajua sana aisee ndiyo maana sitaki kumuacha hata kwa dawa.maana amenikamata sana yaani kiuno feni aisee sio poa kabisa wakuu

Sasa jana nimemfuma akiliwa uroda na mshikaji mwingine tena nyumbanj kwangu daaah😧😧😧😧 daaah ila.jamaa akaniambia hajamla bali walikuwa wanaoga tu ila sasa kinachonishangaza kwanini wote walikuwa uchi? Jamaa nikamruhusu atoke na mke wangu akaniomba msamaha na nikamuomba msamaha tunaendelea na mapenzi yetu
wasaKj8I_400x400.jpg
 
Back
Top Bottom