Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
UMeona mama hongeraOyaaa mods zile trophy points zangu mpeni huyu jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UMeona mama hongeraOyaaa mods zile trophy points zangu mpeni huyu jamaa
Kitu cha Mufindi/Rungwe.
Kibumbu kinakuwasha da mau??UMeona mama hongera
Aha umeona certificate eh nikununulie zawadi gani??Kibumbu kinakuwasha da mau??
Umepona kurogwa?? Kwahiyo ndio umetoka milembe umebeba na mivyeti yako, badala ya kuchukua dose ya kumeza ukiwa uraiani!! 🤣🤣🤣Aha umeona certificate eh nikununulie zawadi gani??
🤣🤣🤣na huyu moderator watampa trophy points...😂
EH nani kapewa cheti kama sio wewe mpendwa mie umeona yangu hujaona nyie na Ushimen mmepewa vyeti mmefuzu ukichaa nyie ni vichaaUmepona kurogwa?? Kwahiyo ndio umetoka milembe umebeba na mivyeti yako, badala ya kuchukua dose ya kumeza ukiwa uraiani!! 🤣🤣🤣
Da mau ukiwaga na genye akili zinahamiaga matacle ni, sio kosa lako mwezi mchanga…!!EH nani kapewa cheti kama sio wewe mpendwa mie umeona yangu hujaona nyie na Ushimen mmepewa vyeti mmefuzu ukichaa nyie ni vichaa
Ila shida nimemzoea nikimuacha nitampata wapi mwingine? Na ukiangalia mie mwenyewe ni domo zege huku mwanamke nimemoata kibahati nilikutana nae pale mbagala rangi tatu nyuma ya stendi ya magari ya kusini pale akijiuza na nilimchana akanirlewa sana
Mwanzoni alionekana kubadilika sana hakutaka kusikia kitu kinachoitwa kunisaliti kabisa aisee demu anayajua sana aisee ndiyo maana sitaki kumuacha hata kwa dawa.maana amenikamata sana yaani kiuno feni aisee sio poa kabisa wakuu
Sasa jana nimemfuma akiliwa uroda na mshikaji mwingine tena nyumbanj kwangu daaah😧😧😧😧 daaah ila.jamaa akaniambia hajamla bali walikuwa wanaoga tu ila sasa kinachonishangaza kwanini wote walikuwa uchi? Jamaa nikamruhusu atoke na mke wangu akaniomba msamaha na nikamuomba msamaha tunaendelea na mapenzi yetu
🤣🤣🤣Umemshukuru Rais?