Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

 
Kihelehele Cha Nini kuwahi kuingia ndani?

Ona Sasa kataa ndoa wamekosa funzo hapo dadeki.

Ndiyo maana unaitwa ndoo ya Maji😀😀😀😀
Huenda asingeweza kuhimili kusikia mazito zaidi hususani mkewe kama angeanza kuzungumzia mada ya watoto
 
🤣🤣🤣🤣
 
"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."
wewe ni ndoo,
vidumu vipo vinasikilizia gap vbebe mzigo!!
 
Nimemsikiliza yaani kamcheat mumewe na ana mimba seems ni ya huyo sunshine alafu Anataka mumewe arudi Aisee hawa viumbe ni nyokooo
Tusiwatelekezeee maana mara nyingi hawajui wanacho kitaka. So ukiwa karibu naye jitahidi kumpa kanseli kwa upole. Wengine huwa wanaelewa.
 
Namba yake kwanza, aje amfundishe na wangu kuchepuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…