Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Sasa mkuu, una mpngo gani na huo mlimao? Si ungeukata p ili uchome mkaa tu.
 
Hapo sasa mtihani, ila tukija kwako pia

Kwa hiyo mzee ndio kusema hucheat kabisaaaaaa

Au ndio vile tena wasemavyo waswahili

Mosi, Nyani haoni...... na pili, Mkuki kwa nguruwe . . .
Dogo acha ujinga, nani alikudanganya mwanaume anacheat?

Uchafu/zinaa anatunza mwanamke.

kati ya anaetema na kutemewa ni yupi huona/hupatwa kinyaa?
 
Sijaelewa stori ya mchenza na mlimao imeingiaje?
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Kuna mambo ukiyafikiria na kuyafuatilia sana unapunguza siku za kuishi kwa stress
 
Miti ikikua wagonjwa wapate kivuli waweze kuwateta manesi
Hahahaha.

...ndugu wa wagonjwa waweze kupata kivuli ili wajadili bill za wagonjwa na kuwasimanga manesi wavivu....

Hiki kipande kimenifurahisha
 
Fungua chuo cha udangaji upige hela lecturer unae
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Huo mlimao ni dume
 
Inaonekana ni chai lakini ni chai ya tangawizi, haya mambo huwa yapo
 
Inaonekana ni chai lakini ni chai ya tangawizi, haya mambo huwa yapo
 
Back
Top Bottom