chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 752
- 1,239
Sikwami mkuu,kila kitu nampa
Hapo wewe ndo mwenye makosaNi huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.
Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.
Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.
Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.
Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.
Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.
Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.
Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.
Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
Ebu fafanua hapa "kila kitu nampa"Sikwami mkuu,kila kitu nampa
Natumia bagia mkuu zenye pilipiliUnatumia vitafunwa gani maandazi au chapati?
Kuna Uzi mmoja unaelezea hatua za ndoa kufa! Inaonekana wewe ni mvivu, kila siku mgongo unakuuma!Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.
Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.
Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.
Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.
Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.
Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.
Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.
Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.
Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
Naona mnachangamsha kijiwe cha JF na chai zenu.Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.
Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.
Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.
Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.
Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.
Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.
Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.
Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.
Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
[emoji3] Jf raha sanaWanaume tutakuja na ushauri acha kwanza tujadili kwa pamoja.
Dada mpole na mwenye huruma
Hii picha kila nikiionaga nacheka mno πππππNaona mnachangamsha kijiwe cha JF na chai zenu.
View attachment 1633535
Wewe kaka wa JF njoo tujilockdown
Kwa kipindi hiki ambacho tunaelekea kujilockdown kwa sababu ya gonjwa hili hatari Namuomba huyu kaka aje pm tuzungumze namna ya kujilockdown kwa siku 21 hivi Sifa za huyu kaka 1,Avatar yake ni nzuri inaeleweka 2,Jina lake hapa jf ni jina zuri mithili alivyo 3,Anacomment...www.jamiiforums.com
Yani nijikute namwambia wife nenda na shemeji yako? Labda niwe niko ICU chemotherapy imedunda nasubiria kufa tu πππIla kuna tabia ambayo imewagharimu watu wengi ingawa wengine wanaipuuzia sana,ukaribu wa mwanaume au mwanamke na mashemeji wa gender tofauti,inafikia mahali mtu anamwambia mume wake mi leo sijisikii kutoka nenda na shemeji yako,jamaa anatoka na shemeji yake wa kike wanakaa huko masaa 4 au 5,tena mbaya zaidi ukute wote ni wanywaji wa pombe,mambo mengine mi naona ni kama kujitakia...
Atakuwa huyo mamdogo alianza kujinyegeza kwa bahasha wake...Kimsingi hio kauli hapo chini ni ukweli mtupu.Panapofuka moshi jua chini yake kuna moto.Jaribu kufatilia root yenu inaezekekana hiyo ni tabia iliyozoeleka ndani ya familia yenu.Mwanaume hawezi kumtongoza mama mdogo kama mama mdogo hajajilegeza kwake hata siku moja.Labda nikwambie wanaume huwa tunaogopa mwanamke anayeonyesha hataki mambo ya kijinga na mwenye msimamo.#MWANZO WA NYEGE NI KUNYEGESHANA
Asante mtunza kumbukumbuKabla ya watu kukupa ushauri ni vema wakapitia huu Uzi ili kujua wanatoa ushauri kwa mtu wa aina gani https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1716678/
Ni hayo tu
Hilo ni funzo kwa wanawake wote duniani wanaopenda kufuga viben 10..na kufunga marioo majumbani mwao.Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.
Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.
Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.
Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.
Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.
Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.
Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.
Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.
Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
Rudisha jikoni hii chai angalau ipate motoNi huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.
Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.
Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.
Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.
Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.
Baadaye niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.
Baadaye nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.
Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.
Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua