Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
Hapo wewe ndo mwenye makosa
1. Kwanza kwanini unamuita mtu Wa miaka 38 kuwa ni Wa makamo? Huyo bado kabisa. Hapa ulifanya uzembe kumchukulia poa.

2. Kwanini ulirudi nyumbani ghafla? Si bora hata ungetafuta alternative huko ofcn kwako?

3. Kosa jingine...kwanini uliwaacha wawili tu? Hakuna kipindi mwanamke anahitaji faraja kama akiachwa....mwanamke akipigwa chini kumchukua ni rahisi mno kama kibogoyo kutafuna maini.
 
Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
Kuna Uzi mmoja unaelezea hatua za ndoa kufa! Inaonekana wewe ni mvivu, kila siku mgongo unakuuma!
 
Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
Naona mnachangamsha kijiwe cha JF na chai zenu.
2457376_JamiiForums-621070314.jpg


 
Panapofuka moshi jua chini yake kuna moto.Jaribu kufatilia root yenu inaezekekana hiyo ni tabia iliyozoeleka ndani ya familia yenu.Mwanaume hawezi kumtongoza mama mdogo kama mama mdogo hajajilegeza kwake hata siku moja.Labda nikwambie wanaume huwa tunaogopa mwanamke anayeonyesha hataki mambo ya kijinga na mwenye msimamo.#MWANZO WA NYEGE NI KUNYEGESHANA
 
Ila kuna tabia ambayo imewagharimu watu wengi ingawa wengine wanaipuuzia sana,ukaribu wa mwanaume au mwanamke na mashemeji wa gender tofauti,inafikia mahali mtu anamwambia mume wake mi leo sijisikii kutoka nenda na shemeji yako,jamaa anatoka na shemeji yake wa kike wanakaa huko masaa 4 au 5,tena mbaya zaidi ukute wote ni wanywaji wa pombe,mambo mengine mi naona ni kama kujitakia...
 
Mshkaji wako alikua na nyege alafu naona ulikua unambania akitaka mambo unamuambia umechoka si ndo zenu.Bimkubwa nae hana uchoyo alikua anakusaidia usikasirike msamehe muendelee na maisha
 
Naona mnachangamsha kijiwe cha JF na chai zenu.
View attachment 1633535

Hii picha kila nikiionaga nacheka mno 😂😂😂😂😂
 
Ila kuna tabia ambayo imewagharimu watu wengi ingawa wengine wanaipuuzia sana,ukaribu wa mwanaume au mwanamke na mashemeji wa gender tofauti,inafikia mahali mtu anamwambia mume wake mi leo sijisikii kutoka nenda na shemeji yako,jamaa anatoka na shemeji yake wa kike wanakaa huko masaa 4 au 5,tena mbaya zaidi ukute wote ni wanywaji wa pombe,mambo mengine mi naona ni kama kujitakia...
Yani nijikute namwambia wife nenda na shemeji yako? Labda niwe niko ICU chemotherapy imedunda nasubiria kufa tu 😂😂😂
 
Panapofuka moshi jua chini yake kuna moto.Jaribu kufatilia root yenu inaezekekana hiyo ni tabia iliyozoeleka ndani ya familia yenu.Mwanaume hawezi kumtongoza mama mdogo kama mama mdogo hajajilegeza kwake hata siku moja.Labda nikwambie wanaume huwa tunaogopa mwanamke anayeonyesha hataki mambo ya kijinga na mwenye msimamo.#MWANZO WA NYEGE NI KUNYEGESHANA
Atakuwa huyo mamdogo alianza kujinyegeza kwa bahasha wake...Kimsingi hio kauli hapo chini ni ukweli mtupu.

#Mwanzo wa kutongozwa ni kujichekelesha ovyo na kujirahisisha.

Wanaume huwa tunasoma alama za nyakati. Unaanzaje kumchomekea vimaneno vya kizushi mtu mzima ambaye anajiheshimu na kuku treat kama mdogo wake.
 
Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadae niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadae nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua.
Hilo ni funzo kwa wanawake wote duniani wanaopenda kufuga viben 10..na kufunga marioo majumbani mwao.
 
Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri.

Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila ameachika amekuja kwangu akae atafute kibarua.

Boy wangu naye kaja kwangu ana wiki moja hivi, lakini cha kushangaza wameishazoeana na mama mdogo hadi wameamua kunisaliti.

Asubuhi sana alfajiri niliwahi kazini lakni nilipofika kazini nikawa nimesahau document moja ambapo nilichukua boda na kunirejesha nyumbani.

Kwa kuwa mama mdogo ndiye analala chumba kilichopo karibu na geti nikaenda dirishani kumuita lakini bahati mbaya sana kuna upenyo wa pazia nikawakuta wanasex live, nikahisi akili kuruka nikapiga piga dirisha hadi kioo kikapasuka.

Baadaye niliwataka wanifungulie mlango wakagoma, nikataka nipige yowe ila nikaondoka pale kwangu nikaenda kwa rafiki yangu kukaapo huku nalia.

Baadaye nikarudi kwangu nikakuta wamefunga mlango wameondoka.

Ndio nimeamini Kauli ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya, kweli wanaume ni ndugu zake shetani.

Maumivu niliyo nayo Mungu ndio anajua
Rudisha jikoni hii chai angalau ipate moto
 
Back
Top Bottom