Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

Acha umbeye ndoa yao waachie

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama huyu anastahili kuitwa mbeya...

Anaonyesha tayari anazo options mbili kwenye hili kusema au kutokusema na zote anazireason kwenye comments zake.

Lakini kwangu, rafiki yangu wa karibu kunieleza jambo baya nalofanyiwa na mtu mwingine awe mke baba mama ndugu Jirani na likagundulika ni la kweli huo sio umbeya. Ni msaada
 
Anaweza kumlinda kaka yake na magonjwa yasiyotibika
 
Kama maelezo haya yote haukupindisha kitu basi akipitia humu akasoma atakuwa kapata ujumbe... duh unaficha halafu unaandika humu kiwazi hivyo.. hata wanaomfahamu na hayo uoiyoyataja wameshajua ni akina nani.
 
Yesu wangu.... sijui hawa wanawake tuwape nini ili waridhike..." ona sasa anahatarisha ndoa yake kisa mchepuko uliompa kazi..... usahuri wangu mwambie kaka yako yeye ndio ataamua ampe adhabu gani coz mara ya kwanza ulivyomwona ukahisi kabadilika kumbe bado anaendeleza tabia zake chafu..... kwanza inaonekana huyo mdada hajieshimu why adunyuliwe kwenye vyoo...."

Mkuu hapo mwaga mboga.... kaka amalizie na Ugali.... Hapo utakuwa umefanya jamabo jema mbele za Mwenyezi Mungu"
 
mm nakushauri mkutanishe uyo mwanaume na kaka yako ili siku ajionee yeye ila kwanza mwambie alafu cku mkutanishe aone alafu aladu uyo mwanamke msikilize anasemaje ili ujue what goes on

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo naye anawez asiamini, lakin nahisi hata mwanamke anaweza nisingizia kuwa namtaka mimi, yaan ili,kuniwahi, ila ntajua tu, maana ndo mbinu zao
awezi singizia chochote mkuu..... kama kafanya kwelii ataishia kung'atang'ata maneno...... hawa mabinti siku hizi hawaaminiki kabisaa.....😡😡😡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…