Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

nduguu zangu aisee unaweza kukata tamaa mke wako asifanye kazi yeyote abaki nyumbani tu,

mi nakaa mitaa flani wanapobomoa bomoa uku dsm, kuna jirani yangu anafanya kazi uhamiaji na ni mtu mzito kweli pale, huyu kaka namuita ndugu japo si damu moja, lakin kanisaidia sana maishani,
alioa mwanamke ambaye kwa kipindi anaolewa alikuwa kamaliza SUA, kumbe alipomaliza shule akaanza kusambaza cv alikutana na vikwazo kibao hasa ikiwemo bosi kutaka malipo ya mrabaha
,
siku moja nikaenda maeneo ya mwenge maana ndo anafanyia kazi huyo mwanamke sitataja ofisi, nikaingia hotelin pale maana nilikuwa na wageni nikafika pale nikakutana na huyun shemeji yangu anatoka pale hotelin akiwa na mwanaume, baada ya kuniona alishtuka sana , akanitambulisha kuwa yule ni boss wake, na akamwambia bossi kuwa mi jrani yake, nikajua kuna linaloendelea , kwa bahati nzuri sikumwambia mme wake yaan kaka yangu huyo, siku ilofuata shemeji akanifuata akaniambia kama kuna lolote nili notice nikaushe maana huyo ndo bossi wake na anaweza kumfukuza angemkatalia kukutana naye pale ila alisema kuwa hawakufanya jambo ilikuwa ni mazungumzo tu, ok

sasa huyu mme wake wakapata safari kikazi kwenda ------ walikaa miezi kadhaa, katika mizunguko yangu ofisi za manispaa nikakutana na yule bosi tena akanikumbuka , tukaongea sana ila sikuuliza chochote juu ya shemeji yangu,
akauliza nafanya kazi gani tukatambulishana, ikaonekana kumbe kazi yangu ningeweza kumsaidia jambo pale ofisini akasema atanipigia one day,

tukapanga kwamba shughuli yake ningeifanya weekend maana ndo nilikuwa free akasema nami nakuwa free utakuja tukapanga jumamosi jion.maana alisema kama si jumamosi basi jumapili, nikaamua kwenda jumapili nikijua ntamkuta tu maana alikuwa free hadi jumapili, nikafika nikakuta ofisi imefungwa lakin mlinzi akanambia labda nimsubirie kwenye benchi ya pale nje, maana atakuwa ofisi nyingineyo miongoni mwa ofis za ndani, nikapiga simu imezimwa nikasema ngoja nimsubiri, lakin nikaenda msalani , wakati naenda nikaona kama tobo fulani unaweza ona ndani alafu kama vile kuna mtu, nikaamua kuchungulia, mwanamke sikuweza kumtambua haraka maana alikuwa kakaa mezani katoa nguo za chini kaamuangalia mwanaume aliyeshusha suruali kidogo, kama ka mlegezo fulani hivi, alafu mwanamke anafanya action ya kujisukumiza kwa mwanume , niliishiwa mood nikasema na hivi ni weekend ngoja naichek hii movie, nikasikia kama mtu anakuja msalani nikatoka haraka nikarudi kwenye seat ile, baadae naona mlango unafunguliwa kidogo kidogo kama wanachungulia, eee kuangalia ni mke wa jiran yangu, kaka yangu ,rafiki yangu,

tokea jumapili mpaka now najiuliza inakuiwaje, tena mi ndo nimemfuata kaka airpot leo kafika , ila sikumwabia kitu, ila nadhani kahisi jambo maana kama vile sikuwa sawa,

mimi sijui nimwambie sijui niwaache?
maana huyu mwanaume ndo alikuwa anamsapoti ata kwenye ada SUA, kamlipia mama yake alikuwa na kesi kidogo nyumba yake iuzwe , kamlipia million 7 na kumaliza kesi, anasaidia wadogo zake mke wake, lakini haridhiki,

shemeji yangu alikuwa na aibu kuniangaliaq usoni , ila leo kapiga simu eti ana mazungumzo na mimi kabla sijaongea chochote na mme wake,

kwakweli nahisi huyu kaka akija kujua nilijua nikamficha itakuwa shida, maana ipo siku mwanamke anaweza fanya jambo akawekwa mtu kati akasema nisamehe hata shemeji ..... anajua alitukuta,

lakini nahisi ikimshauri ntavunja ndoa,
Katika hiyo hali ni vema kushirikisha ubongo zaidi kuliko hisia zako.

Usipo kaa vizuri huyo mwanamke atajisemelea kwamba unamtongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan dah! Inauma!! Kwan uyo bidada ana mtoto na uyo kaka ako???? Na kama hana n bora utafute njia nzur ya kumweleza utampoteza uyo kaka ako awa mabos baadh yao n wafu wanao tembea atamwambukiza magonjwa yake, ila sometime wanwake sijui aturidhki ahaa!!! Inakeraaa
 
tatizo naye anawez asiamini, lakin nahisi hata mwanamke anaweza nisingizia kuwa namtaka mimi, yaan ili,kuniwahi, ila ntajua tu, maana ndo mbinu zao

Mkuu usisahau kuleta mrejesho wa kutimuliwa kwa kusakiziwa kesi na shemeji.
 
Wewe mkuu ungepiga picha tu ili uwe na uthibitisho, tofaut na hapo bora ukae kimya tu, ila umwambie jamaa awe makini sana na mke wake kama ana akili atajiongeza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo boss wa shemeji yako why apange appointment nawe siku ambayo alijua atamtafuna? nashindwa kuelewa ana lengo gani na wewe?!

Mi nashauri umfuate huyo boss umchane makavu kuhusu ubaradhuli afanyao kwa mke wa mtu.
Ikiwezekana mtishie kumweleza mwenye mke ikiwa hatasitisha mahusiano.
 
Hapo anapokwambia ana mazungumzo na wewe lengo lake akutunuku k ili usiseme. Malaya ni malaya tu hawezi kuacha, labda anapumzika tu. Muokoe nduguyo, muepushe na limalaya hilo litamuua mapema. Kama anatoa uchi kwa sababu ya wema aliotendewa (kupewa ajira), it means yupo tayari kuitoa popote atakaposaidiwa tena. Anaifanya kuwa mali ya umma.
Utajisikiaje siku ukiambiwa nduguyo ana ngwengwe, na kaambukizwa na mkewe?

Mimi siwezi kukaa kimya nikiona shemeji yangu yeyote anazingua, nitasema tu bila kujali matokeo yake maana nawapenda ndugu zangu, nawaeleza ukweli hata kama hawaupendi....

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Asipoamini ni shauri yake kama ww umesema ukweli utapungukiwa nn?
Mkuu.. huyu jamaa ana ushahidi / kidhibiti kitakachosupport maneno yake? Alipiga hata picha ya ushahidi?

Vipi akimwambia huyo jamaa thn mwanamke akakataa kuwa hakufanya chochote?

Hatahivyo, sina uhakika kama habari hii ni ya kweli.....bas tu !
 
Maombi ya mahusiano hayaingiliwi,acha ajuae mwenyewe kuliko useme,huwezi jua mapokeo yake yatakuaje.unaweza mwambia akamuua,utasababisha matatizo zaidi.mapenzi magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom