Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

Mkuu pambana na Hali yako mambo ya kufuatilia nyendo za watu si mazuri na hauwezi kuyamaliza katika jamii na hautakuja kujua sababu zilizopelekea hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umenikumbush class of ethics mweleze jamaa yako kila kitu kama uliivyoshuhudia!
 
Usimwambie uyo kaka yako ila mwambie uyo shemeji yako hiyo sio tabia na umwambie mimi nimetumia busara watakuona waropokaji utaharibu ndoa yako.
 
tehe tehe tehe tehe tafuta ushahidi wa kutosha ndio umwambie usije geuziwa kibao
 
Aisee piga kimya tu af kuwa busy na maisha yako...maisha ni safari ndefu
Siku kama akikutaja utawaambia sikutaka kuyaingilia kuvunja ndoa yenu
 
Hehhe ujue kuachana napo inategemea... Ukimpenda mtu na umetoka nae mbali na mna familia sio maamuzi mepesi... Mda mwingine bora kutojua tu
 
Hehhe ujue kuachana napo inategemea... Ukimpenda mtu na umetoka nae mbali na mna familia sio maamuzi mepesi... Mda mwingine bora kutojua tu
Sawa ,, kwaiyo unataka siku jamaa akuombe ushauri kuhusu afya yake???? Ndo useme mke wako alikua anachepuka ??? Au utakaa kimya???
 
Kama hautaongea na jamaa.ni vizuri ukaongea na shemeji yako umpige mkwara kwamba ukimshika tena hautamvumiliana na unamfatilia nyendo zake.fanya hivyo kunusuru ndoa
 
Sawa ,, kwaiyo unataka siku jamaa akuombe ushauri kuhusu afya yake???? Ndo useme mke wako alikua anachepuka ??? Au utakaa kimya???
Wanaochepuka wote wanapataga ukimwi???!!
Mi ngekaa kimya tu.,mana ukisema huo mtafaruku sio wa nchi hii
 
Wanaochepuka wote wanapataga ukimwi???!!
Mi ngekaa kimya tu.,mana ukisema huo mtafaruku sio wa nchi hii
Nani kakuambia magonjwa ya ya zinaa niukimwi tu ????


Anyway ,, wewe mume wako akiwa anatembea na mfanyakazi wako utajisikiaje ???
 
Nani kakuambia magonjwa ya ya zinaa niukimwi tu ????


Anyway ,, wewe mume wako akiwa anatembea na mfanyakazi wako utajisikiaje ???
Vibaya sana..ila kama kaficha na anafanya bidii kuficha sio kesi..hao malaika wakuishi nao mnawataka kutoka wapi...ni ishu kama usaliti ni very open..mapenzi yanakosa maana
 
Vibaya sana..ila kama kaficha na anafanya bidii kuficha sio kesi..hao malaika wakuishi nao mnawataka kutoka wapi...ni ishu kama usaliti ni very open..mapenzi yanakosa maana
Well ,, naktika kufanya bidii yakuficha ,,lkn ndugu yako wakaribu akawa anajua ,.... Sasa vipi utakayojua kua mumeo anachepuka naukajua pia kua Dada yako naye anajua mumeo mchepukaji ila hakuwah kukuambia ,,VP utamuonaje Dada yako ???
 
Well ,, naktika kufanya bidii yakuficha ,,lkn ndugu yako wakaribu akawa anajua ,.... Sasa vipi utakayojua kua mumeo anachepuka naukajua pia kua Dada yako naye anajua mumeo mchepukaji ila hakuwah kukuambia ,,VP utamuonaje Dada yako ???
Ntamuelewa kwamba hakutaka kuniumiza
 
Duh. Wanaume wa dar bwana kwa umbea.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…