Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

tatizo naye anawez asiamini, lakin nahisi hata mwanamke anaweza nisingizia kuwa namtaka mimi, yaan ili,kuniwahi, ila ntajua tu, maana ndo mbinu zao
awezi singizia chochote mkuu..... kama kafanya kwelii ataishia kung'atang'ata maneno...... hawa mabinti siku hizi hawaaminiki kabisaa.....😡😡😡
 
kaka umeongea busara mno
Chukulia unamwambia ndugu yako alafu ana amua kujitundika yeye au kummaliza mkewe.....unafikiri utakua umemsaidia??

Mie nakushauri usiwe chanzo cha taarifa labda kama utahitajika kuwa shahidi.

Pia kwa hali iliyopo sasa....usitegemee huyo mwanamke atakaa akisubiri useme, lazima anatafuta namna ya kukuwahi tu. Jiongeze!
 
Sky very true. Jifanye kama hamjawahi kutana na huyo shemeji yako. Wakigombana wakapatana utabaki na aibu. Tena waweza kuonekana wewe kidudu mtu!!
Wakiwa ndani ya shuka wanachoongea hakuna mtu anajua.
 
Duh, mimi kwanza ningemwambia shemeji kuwa nimejua kamari yote. Ili nitunze siri hii nipe na mimi nilambe tu. Hapo ni siri sirini. Kumchomea itakugeukia uone dunia ilivyo jinga. Kumbuka wema ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Porojo za JF.

Ukiona jihabari reefu la udaku ujuwe ni porojo. Ubuyu wa kweli huwa mfupi halafu mchachu.
 
Aisee

Hili neno ''UAMINIFU" ni janga la kitaifa
 
Tokea Leo wa kwangu naenda kumsimamisha kazi, haha sijaoa natania illa mbona hatari hii
 
Nakushauri cku akiwa katulia mwite sehemu mwambie ukweli wote pia mpe njia ambazo atajithibisha mwenyewe.nakumshauri njia nzuri ya zuia hasira zke.ila usipende kuingilia maswala ya ndoa mara nyingi athari huwa nyingi kuliko unavofikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachopaswa ni kumwambia huyo shemeji yako kuwa anachokifanya sio kitu kizuri na ni dhambi. Hupaswi kumwambia mwenye mke unapaswa kumwonya huyo mkewe hivyo ndivyo wenye busara huwa wanafanya. Kwa sababu ukimwambia mumewe wanaweza wakaachana then baadaye huyohuyo mwanaume akaja kukulaumu wewe kwa nini ulimwambia ni afadhali ungenyamaza. Nimeyaandika haya kwa experience niliyonayo.
 
bora unyamaze tu 40yake ikifika atakaonekana na mmbea mwingine au atakamatwa mwenyew
jivueeee
 
Aiseee Una nguvu na ujasiri saaana, uende tu kwenye nyumba ya mtu uanze tu kuchungulia kwenye madirisha ya Watu!!! Hii Kali Sana, jiepushe na hii tabia Sio nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chezea umbea ivi utachunguliaje ya mtu ili mladi tu mtu apate vya kupost jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachopaswa ni kumwambia huyo shemeji yako kuwa anachokifanya sio kitu kizuri na ni dhambi. Hupaswi kumwambia mwenye mke unapaswa kumwonya huyo mkewe hivyo ndivyo wenye busara huwa wanafanya. Kwa sababu ukimwambia mumewe wanaweza wakaachana then baadaye huyohuyo mwanaume akaja kukulaumu wewe kwa nini ulimwambia ni afadhali ungenyamaza. Nimeyaandika haya kwa experience niliyonayo.
Huyu Jamaa akinyamaza,si busara.
Atakua hamtendei haki kaka yake,kumbuka hii ndoa bado n changa,hata mwaka bado,lkn tayari bi Dada anachepuka tena na boss wake.
Huyu Dada hawezi acha kwa sababu atakua anaonana na boss daily,.
Huyu mwenye mke anaonekana ni MTU mwema,sasa kwa nini aumizwe na mke ambae hajatulia?.
Ninashauri amwambie kila kitu,ili afanye maamuzi,kuliko kunyamaza,then aje kupata ngoma.

Wakiachana n sawa ili kila mmoja akapate mwenza wanaefananae,hawatakua na cha kupoteza,kwani hawana hata mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom