theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
awezi singizia chochote mkuu..... kama kafanya kwelii ataishia kung'atang'ata maneno...... hawa mabinti siku hizi hawaaminiki kabisaa.....😡😡😡tatizo naye anawez asiamini, lakin nahisi hata mwanamke anaweza nisingizia kuwa namtaka mimi, yaan ili,kuniwahi, ila ntajua tu, maana ndo mbinu zao