Nimemfumania zaidi ya mara tatu na kusamehe, nimemuambia kumuoa anakataa

Mkuu huo ni Ubwege na usipojiangalia utapata magonjwa ya moyo tukiachana na magonjwa ya ngono ambayo atakuletea. Na usipokuwa makini soon atakuletea mwanaume mwenzio ndani
 
Utakuwa na tatizo la kiakili.
Wanaume tukifumania au kuona dalili za wazi kabisa kuwa ana mahusiano nje huwa mara moja tu, tunaacha palepale.
Huyo kiumbe atakutesa sana na huenda hata huyo mtoto unayesema wa kwako sio. Ana baba yake huyo.
In summary: ACHANA NA HUYO MALAYA
 
Hakuna mwanamke anyependa kuolrwa na Mwanaume FALA!
 

Aliyekuroga kafa😁
Hapa Ulisema una miaka 40 Leo unatwambia una miaka 37
Binafsi nimechoka chai zako ni za Moto mnooo🤣🤣💔
 
Nakupenda
 
Mkuu,
Kaa chini utafakari upya maisha yako ya mahusiano, kuna mahali upo dhaifu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…