Nimemgonga mke wa bro leo asubuhi

Kibaiskeli-kitanda


ulipoingia ndani shemeji yako akamwaga taka........................
 
Ha ha ha rudi shuleni hunaadabu
 
Ebbbbbbo??? Mimi nikafikiri tayari umejishindia "HYUNDAI" a.k.a "Papuchi" nikaja mbio ili niripoti matukio@
 
Nimewahi kweli,nkajua mambo yetu yaleeee...
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umeua
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee nomaaa
 
Kumbe umemgonga kwa baiskeli mimi nilijua yale mambo yetu yale cha muhimu mpe pole huduma ya kwanza na mpeleke hospitali
 
Kukosa kazi za kufanya ni janga. Tanzania ya viwanda yaja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…