Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Hizo ni nyimbo ambazo Kuruta huimba wakiwa depo...huko kwenye kambi za jeshi mfano Ruvu jkt, Kabuku Jkt, bulombora jkt, makutopora, Monduli, Mafinga n.k.Ninini iko??
Mambo za JKT hizome sijaelewa ufafanuzi tafadhali
Maaale malela malela, maaale malela wangu namtafuta x2Malelamalela
Hizo ni nyimbo ambazo Kuruta huimba wakiwa depo...huko kwenye kambi za jeshi mfano Ruvu jkt, Kabuku Jkt, bulombora jkt, makutopora, Monduli, Mafinga n.k.
Nyimbo hizo huimbwa kwa ajili ya kuchangamka na kutia hamasa ya uchapaji kazi jeshini..
Pia katika matembezi marefu (Route Match) hizi nyimbo pia huimbwa
Usingekufa ila tu cha moto ungekiona..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana chezea Jeshi..ukimuona mtu na nyota zake begani ujue kafight kweli [emoji123][emoji123]Duhhhhhhhhhhh kumbe nadhani
Mi ningeenda huko ningekufa nadhani asante mungu nilisomaga Zama za kati
Cc Smart911
Usingekufa ila tu cha moto ungekiona..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana chezea Jeshi..ukimuona mtu na nyota zake begani ujue kafight kweli [emoji123][emoji123]
Nalela kumanya ....nalela kumanyasengwile makamandaa...
Aiyaiya mamaaaa aiyaiyaamama TPD...mama napenda jeshi×3
jeshiiiii moraliiii eeeeh...
aiya iya mama(aiya iya)×3
jeeeeshiii moraliii eeeh
Eee ndio mambo ya jeshi hayo BibieDahhhhhhhhhhh kuna ajira mpya fulani enzi wameajiriwa duh ni habari za sijui kruta mara bakabaka mara karanga six Week duh utasikia dogo acha ku rob rob khah
Unaonekana haukuwa nanga ndugu yanguNalela kumanya ....nalela kumanya
nuiya amba nuiyaaa