Hajaonekana hadi leo malela wetu nasikia yupo jf bila huo wimbo hakuna jktMalelamalela
Coy gani kabuku mkuuNilikwendaaaaaa Kabuku wakataka kuniuaaaaaa,nilikwenda mimi na buti zangu kanyaga
afande kerooo nlikua sikapendiiiii kale yani kakija kombania etu nachomoka mdogo mdogo....kana sifa balaaa
Mkuu ishapita miaka miwili tangu niende ila BRAVOOOOOOOOOOOOOO COY aiyeeeeeeeeeeeee halafu wote tunaitika aiyeee,kwaya master anasema BRAVOOOOO then tunajibu aiyeeeeeeee bravooooooo piga keleleeeee za shangwe then tunajibe keleleeeeee za shangwe x2Coy gani kabuku mkuu
Malelaa kumanyaa aheee...x2sengwile makamandaa...
Mtoto analilia jeshi..mtoto analilia nini?????
mimi hapa eeeeeh (amba) naitwa dead eeeeeh (amba) natokeeeea eeeeeh jeiiiiiiiiiiiiiief (amba)siela we (amba)
siela(amba)
amba mama(amba)
siela we.....
amba kujigi jigi(amba)
jigi uselule(amba)
amba mama ah (amba)
siela we...
mwache akaone mwenyewe,nakichura ataruka....Mtoto analilia jeshi..
Chenja ya mchakamchaka..mama TPD...mama napenda jeshi×3
jeshiiiii moraliiii eeeeh...
aiya iya mama(aiya iya)×3
jeeeeshiii moraliii eeeh
BravoCoy gani kabuku mkuu
Bravo
Nilipoambiwa kumbe tumeanza 6 weeks kuwa hakuna kulala nilikuwa siamini amini,afande kuruta huwa haamini mpaka atoke damumaisha matamu sana yale had raha