Nilipoambiwa kumbe tumeanza 6 weeks kuwa hakuna kulala nilikuwa siamini amini,afande kuruta huwa haamini mpaka atoke damu
we mweupe sio[emoji26]nimemiss kuitwa mng'ao na maafande[emoji23][emoji23][emoji23]
wa kijaniwe mweupe sio[emoji26]
Daah!! Haka kawimbo kalikuwa kanatupa morali kakupiga root match ndefu bila kuchokamdogo mdogo eeh (mwendo)
ayeya(mwendo)
eh tutafika we(mwendo)
ayeyaaaaa
haha sana tuDaah!! Haka kawimbo kalikuwa kanatupa morali kakupiga root match ndefu bila kuchoka
baba yauweeeeee hayooooooo
haha yaache yafarakane mike...Yarushie tauro baba
bado tunamiss...wazi afwandreeeeeeeBado mna miss chenjaaa
Malela na msondo eeeenh malela na msondo mayasa.Malelamalela
Kazi ya jeshi ni ngumuMalelaa kumanyaa aheee...x2
Baba Jeni baba....baba jeni × 2mama jeni mama...mama jeni
we mama jeni...mama jeni (usilie)