Nimemiss Chenja

Nimemiss Chenja

Tunaondoka, haya twende
Tunaondoka, haya twende....

Guruma jimama hilo
Guruma linasikia utam x2...

821 KJ.... Bulombora!


Ila jamaa wanadic sana polisi!
Et polisi wanapiga push up kwenye godoro [emoji38][emoji38][emoji28]
 
malela malela malela...
malela malela waaaangu namtafutaaaa...
My favorate! Siku naisikia ndo kwa mara ya kwanz baada ya intro napata fursa ya kulala usiku bila ma ovyo ovyo. Maafande walikuw kwenye disco wenzao wakipandishwa vyeo tukamwaga tee uwanjan!
 
Nalia ngwena nangwenaaaa...
Nalia ngwena nangwena.....


Hyo nyimbo hatar Sana
 
mama TPD...mama napenda jeshi×3

jeshiiiii moraliiii eeeeh...

aiya iya mama(aiya iya)×3

jeeeeshiii moraliii eeeh
nalia eeeh..... nalia mama.... nalia eeeh nalia mama...

mama Tpd .... mama napenda jeshiiiiii.... mama jkt..... mama napenda jeshiiiii.... jeshi moraliii....

EAGLE COY
 
I won't forget hako kawimbo alfajiri ya sa kumi na baridi LA mafinga jamani yale maisha daaa! Japo sometimes tulikuwa tunaona kawaida ila shikamoo jeshi siyo shirika la mkonge
mmh subir kwanza....
ulikuwa pale mwaka gani na coy gan?

kudadeki asubuhi barid hatari
 
Back
Top Bottom