Nimemiss kupendwa....

Bado tunarudi pale pale hayo mambo yanategemea....I like sex, I like sex nadhani vitu vinavonipa furaha Mimi in sex na hela ngoja nicheke kwanza ntamalizia
Hahaha, we noma sana! You like sex more than normal? Huenda wewe ni sex maniac [emoji16][emoji16].

Hem' niambie, una uwezo wa kugongana kila siku bila kukinai?
 
Kweli tumezeeka, we eve si majuzi tu hapa nilikutongoza ukanikataa nikaangukia kwa Madame B?

Haya, njoo sasa nikubebishe my sweet Beib..
Nlivokukataa tu nkamkubalia mentor akanibeba jumla jumla, mambo Tanmo umeadimika sana
 
Mambo Kwa Yesu Mpendwa. [emoji6][emoji6]
Ina maana Jamaa angu Mentor siku hizi anakuambiaga tu Mama nanii rara nikurenge? Ashasahu mahaba?
Mangi wangu ananiambiaga "mama nanii fungua kibubu nieke hela" pale mahaba ndio kwake mbona
 
Anza wewe Kuonesha hayo mahaba ,uone kama hayaja kurudia yakiwa yame changanywa *100 ! Msipende hivi vitu vianzie upande mmoja tuu...
 
Anza wewe Kuonesha hayo mahaba ,uone kama hayaja kurudia yakiwa yame changanywa *100 ! Msipende hivi vitu vianzie upande mmoja tuu...
Hili jambo wengi wanafeli, hiki kitu ndio nikamuuliza unataman hiv na vile, je wewe unatoa hivi na vile!!? Kusiliwe kwa mwali na kwa kungwi nako kuliwe pia

Ukiona mambo yako hayaendi, nenda wewe.
 
Hili jambo wengi wanafeli, hiki kitu ndio nikamuuliza unataman hiv na vile, je wewe unatoa hivi na vile!!? Kusiliwe kwa mwali na kwa kungwi nako kuliwe pia

Ukiona mambo yako hayaendi, nenda wewe.
Your right !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…