Nimemiss kupendwa....

Nimemiss kupendwa....

Bado tunarudi pale pale hayo mambo yanategemea....I like sex, I like sex nadhani vitu vinavonipa furaha Mimi in sex na hela ngoja nicheke kwanza ntamalizia
Hahaha, we noma sana! You like sex more than normal? Huenda wewe ni sex maniac [emoji16][emoji16].

Hem' niambie, una uwezo wa kugongana kila siku bila kukinai?
 
Mambo Kwa Yesu Mpendwa. [emoji6][emoji6]
Ina maana Jamaa angu Mentor siku hizi anakuambiaga tu Mama nanii rara nikurenge? Ashasahu mahaba?
Mangi wangu ananiambiaga "mama nanii fungua kibubu nieke hela" pale mahaba ndio kwake mbona
 
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.

Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.

leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Anza wewe Kuonesha hayo mahaba ,uone kama hayaja kurudia yakiwa yame changanywa *100 ! Msipende hivi vitu vianzie upande mmoja tuu...
 
Anza wewe Kuonesha hayo mahaba ,uone kama hayaja kurudia yakiwa yame changanywa *100 ! Msipende hivi vitu vianzie upande mmoja tuu...
Hili jambo wengi wanafeli, hiki kitu ndio nikamuuliza unataman hiv na vile, je wewe unatoa hivi na vile!!? Kusiliwe kwa mwali na kwa kungwi nako kuliwe pia

Ukiona mambo yako hayaendi, nenda wewe.
 
Back
Top Bottom