Hahahaa yupo jf kajaa teleHahaaaa hujatulia wewe... huyo mtu kapotea jamani...
Salty tunaomba majibu.
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Usisingizie bills bana that's not fair, kwahiyo usimpomtxt ndo bills zinapungua hahaha
Have two kids, I love them lakini haijanifanya nipunguze kumpenda baba yao nampenda mno kama zamani tu teh ndo maana bado natamani tuwe na makopa kopa yetu japo najua majukumu tu yanamtinga hny wangu
Dua lako limegoma, nimepata la kumalizia!! Ila acha nimalizie kumoyo..Nakuombea uendelee kulikosa tu teh
Hapo chacha watoto nawapenda kama watoto baba nampenda kama baba tena nampenda sanaHivi nani aliwaambia huwa tunahamishia upendo kwa watoto 🤷🏿♀️[emoji15]
Itakua majukumu yamewatinga mamaSwali langu wameskip
Dah.Huwa nawaza mambo madogo madogo aliyonikosea napata jazba, nakingine me nawaza turudi kama zamani, je na mwenzangu nayeye anawaza hivyo? Maana unaweza kuonesha mapenzi mwisho wasiku akakuona kituko
Kungwi kapigwa, yan dah...but pole sana baby, njoo DM kama hutajali!Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Nikwambie miss you ama love you?Hahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...😂😂
Yote-yote😊Nikwambie miss you ama love you?
Love u kipenzi😘Yote-yote😊
Hahah...chaanteee😘Love u kipenzi😘
You are loved, asikuletee mtu majonzi!Hahah...chaanteee😘
Woww😍😍😋You are loved, asikuletee mtu majonzi!