Nimemiss kupendwa....

Nimemiss kupendwa....

Kupendwa raha ES asikwambie mtu. Unakuwa na furaha 24/7 unanawiri na kuzidi kuvutia. Hata ukilala unalala na tabasamu na ukisikia sauti ya akupendae hadi ES 😜anafurahia kwa kuchafua nonino. Pole sana Best.

Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.

Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.

leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
 
Have two kids, I love them lakini haijanifanya nipunguze kumpenda baba yao nampenda mno kama zamani tu teh ndo maana bado natamani tuwe na makopa kopa yetu japo najua majukumu tu yanamtinga hny wangu

Hivi nani aliwaambia huwa tunahamishia upendo kwa watoto 🤷🏿‍♀️[emoji15]
 
Nakuombea uendelee kulikosa tu teh
Dua lako limegoma, nimepata la kumalizia!! Ila acha nimalizie kumoyo..

Kifupi umenikosha kwa tabia ya kupenda kwichi kwichi, kuliko maelezo, mie napenda kuliko kula kiasi naona kabisa nimemzidia mama chanja, imebidi kujinyima raha mimi wakati mwingine kwa kumuonea huruma yeye.
 
Huwa nawaza mambo madogo madogo aliyonikosea napata jazba, nakingine me nawaza turudi kama zamani, je na mwenzangu nayeye anawaza hivyo? Maana unaweza kuonesha mapenzi mwisho wasiku akakuona kituko
Dah.
 
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.

Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.

leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Kungwi kapigwa, yan dah...but pole sana baby, njoo DM kama hutajali!
 
Back
Top Bottom