kidaganda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2013
- 2,995
- 2,572
Week ijayo nikiwa nafikisha miaka kadhaa ya ndoa yangu ,kiukweli nimewamiss sana wadada club.
Nawamiss sana asee ndoa na majukumu ya familia yamenikaba hasa hii awamu ya tano..ila nikiwa naelekea kusherekea hii miaka kadhaa ya ndoa sina budi kuwaambia nawamiss sana.
Hasa madada wa club zifuatazo Club VIP Iringa,Club zote za Sinza,Club fussion,club city cabana na ile club maarufu iliyokuwa karibu na salma cone Mwanza..
Wenu katika ujenzi wa Taifa
Mr kidaganda.
Nawamiss sana asee ndoa na majukumu ya familia yamenikaba hasa hii awamu ya tano..ila nikiwa naelekea kusherekea hii miaka kadhaa ya ndoa sina budi kuwaambia nawamiss sana.
Hasa madada wa club zifuatazo Club VIP Iringa,Club zote za Sinza,Club fussion,club city cabana na ile club maarufu iliyokuwa karibu na salma cone Mwanza..
Wenu katika ujenzi wa Taifa
Mr kidaganda.