Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Niliwai kuweka offer yangu humu kuwa nahitaji kuoa lakin mke asiwe na uwezo kwa namna yoyote kuzaa. Nitampenda mno. Nina watoto 2 tayar.
Mama zao walishaolewa zaman huko. Sitak kuongeza kamwe lakin mke namwitaj kwa sabab za nje ya kupata mtoto. Zaid isiwe ana mtoto mwingine huko.
Awe Mtanzania. Awe zaid ya 30. Niko 40. Kwakwel hatajuta kuwa mke wangu kipenz.
Mama zao walishaolewa zaman huko. Sitak kuongeza kamwe lakin mke namwitaj kwa sabab za nje ya kupata mtoto. Zaid isiwe ana mtoto mwingine huko.
Awe Mtanzania. Awe zaid ya 30. Niko 40. Kwakwel hatajuta kuwa mke wangu kipenz.