T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hakuna sehemu kalazimisha mtu na maadam ushasema hata kwa bilioni huwezi basi muache afanye kile kinachomfaa. Sasa haya ya kumpangia cha kusema na kutosema unamkosea kwani hajatukana, hajavunja sheria, hajatenda dhambi, hajaharibu tamaduni.Ungesema habari za wanawake sio incubators while you don’t have a child of your own blood ingesound poa, but nah
HahahahHamna ataekuja saivi maana itakua ni kuji verify kuwa yeye ni TASA
subiri ufike 50 wao watakua 40 atleast wapo wataojaribu sema "enough is enough"
hapo utampatiamo walau mmoja,mzeeke zenu kwa amani mwaya
Nadhan umemuelewa tofautiKwa sababu anamwoa kwa sababu si kwa upendo, sababu zake binafsi, hata mimi ni tasa(according to social construction) lakini siwezi kukubali offer kama hiyo.
Ndoa msingi wake ni upendo, upendo ni nini
1 Wakorintho 13:4-7 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
4 Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.
5 Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya. 6 Upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli. 7 Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahim ili yote.
Kwani client3 shida iko wapi jamaa akiwa na mtoto akataka mwanamke ambae hana uwezo wa kudhaa ?Ungesema habari za wanawake sio incubators while you don’t have a child of your own blood ingesound poa, but nah
Hata huyo unaemtaka nachelea kusema kuwa hamtafika popote!Kwa haraka haraka mleta uzi huna uwezo wa kukaa na wanawake...(kwanini wanawake wote uliozaa nao wameolewa (wamekukimbia)??
Bora tu ubaki mwenyewe as long as una watoto teyari,,kuoa sio fungu lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio. Ingawa naona watu wameniona anti social. Sijui hata kwanini. Kumbe ndo mana kuna mwanamke anam surprise mpenz wake na habar ya NINA MIMBA anashangaa jamaa anamwakia. Tukubaliane ndoa ni urafiki zaid kuzid habar ya kuzalishana. Pia waliojiridhisha hawawez tena kupata mtoto wajue tupo tunaowapenda na tukaendana.Ndugu, are you serious ?, bado unalo hilo hitaji ?.
Hakuna sehemu kalazimisha mtu na maadam ushasema hata kwa bilioni huwezi basi muache afanye kile kinachomfaa. Sasa haya ya kumpangia cha kusema na kutosema unamkosea kwani hajatukana, hajavunja sheria, hajatenda dhambi, hajaharibu tamaduni.
Probably
Vipi ameoa TASA kwa kudhibitika kabisaa kama ilivyokuwa kwa Serai mkewe Ibrahim, 'bahati mbaya kwa mume' tumbo likafunguliwa akashika mimba ndoa itavunjika maana msingi wa ndoa uko kwenye ‘utasa’Kwani client3 shida iko wapi jamaa akiwa na mtoto akataka mwanamke ambae hana uwezo wa kudhaa ?
Au mwanamke ukiwa tasa kwenu ni mwiko kuelewa ? Hasa kwa wenye watoto ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuongea na dada mmoja ambaye naona atakufaa, uliweka sharti la kabila ?.Ndio. Ingawa naona watu wameniona anti social. Sijui hata kwanini. Kumbe ndo mana kuna mwanamke anam surprise mpenz wake na habar ya NINA MIMBA anashangaa jamaa anamwakia. Tukubaliane ndoa ni urafiki zaid kuzid habar ya kuzalishana. Pia waliojiridhisha hawawez tena kupata mtoto wajue tupo tunaowapenda na tukaendana.
Hivi wema ni mnyaturu au mnyamwezi?Ina maama mrembo staa wetu Wema Sepenga, Mnyaturu grade A humuoni au huwezi kumfikia mkuu.?
Nyatu ile
Cjui kwa kweli kiundani
Chapa Singida ile Grade A, Mnyaturu!
mbinafsi wewe,Niliwai kuweka offer yangu humu kuwa nahitaji kuoa lakin mke asiwe na uwezo kwa namna yoyote kuzaa. Nitampenda mno. Nina watoto 2 tayar.
Mama zao walishaolewa zaman huko. Sitak kuongeza kamwe lakin mke namwitaj kwa sabab za nje ya kupata mtoto. Zaid isiwe ana mtoto mwingine huko.
Awe Mtanzania. Awe zaid ya 30. Niko 40. Kwakwel hatajuta kuwa mke wangu kipenz.
Kwa kweli.Ndoa za masharti hizi hapana, yaani wewe uwe na watoto mwenzio hana, hakuna asiyependa watoto, na kwa mwanamke kukata tamaa hadi 50
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha!Chapa Singida ile Grade A, Mnyaturu!