Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mosses Mkandawile alikuwa golikipa wa Simba, kipa huyu alikuwa akiwaudhi sana mashabiki wa Simba kwa namna alivyokuwa akifungwa magoli ya hovyo.
Lile goli alilofungwa Ayoub Lakred kule Ndola, Mkandawile alikuwa akifungwa zaidi ya yale, Mkandawile nilikuwa nikimshuhudia sana akifanya mazoezi pale uwanja wa Taifa B, nyuma ya uwanja wa Uhuru kulikuwa na uwanja ukiitwa Taifa B, wengi mliozaliwa miaka 2000 mkiambiwa mnatukana mara umesimuliwa.
Mkiambiwa ukweli mnabisha, mkiambiwa uongo ndio wale wale, basi ili mradi t.Sisi wengine hutudanganyi na soka la bongo, tulikuwa tunakwenda kucheki Sigara vs Pilsner, ilikuwa sio mchezo huko.
Huku kuna Idd Msigala mara Said Mrisho Zicco wa Kilosa kule sigara kulikuwa na akina Rashid Mmanga, Joseph Katuba ambaye ni marehemu, George Lucas Gazza.
Lile goli alilofungwa Ayoub Lakred kule Ndola, Mkandawile alikuwa akifungwa zaidi ya yale, Mkandawile nilikuwa nikimshuhudia sana akifanya mazoezi pale uwanja wa Taifa B, nyuma ya uwanja wa Uhuru kulikuwa na uwanja ukiitwa Taifa B, wengi mliozaliwa miaka 2000 mkiambiwa mnatukana mara umesimuliwa.
Mkiambiwa ukweli mnabisha, mkiambiwa uongo ndio wale wale, basi ili mradi t.Sisi wengine hutudanganyi na soka la bongo, tulikuwa tunakwenda kucheki Sigara vs Pilsner, ilikuwa sio mchezo huko.
Huku kuna Idd Msigala mara Said Mrisho Zicco wa Kilosa kule sigara kulikuwa na akina Rashid Mmanga, Joseph Katuba ambaye ni marehemu, George Lucas Gazza.