Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa dj DON NAMILISON yupo wapi sasa?Nakumbuka maandiko yake ya kutisha,kejeli,kujiamini na mara ya mwisho akasema anataka kwenda nje.Yu wapi huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip mpango wa kumuoa binti wa Obama awe shemeji yetu umefikia wapi Mkuu, sie wabongo si unajua tunataka tuanze kuvimba sie Mashemeji wa White House ya USADon kama Don kwa sasa anajulikana kama mr. Civilian Coin mkali wa mashairi na vina East Africa.
Kwahiyo jina hilo anapatikana humu au huko ktk tathnia ya muziki?Don kama Don kwa sasa anajulikana kama mr. Civilian Coin mkali wa mashairi na vina East Africa.
amini amini nakwambia Civilian Coin ajawai kushindwa kwenye mapambano.hata sisi mashabiki wake tunalijua hilo.Vip mpango wa kumuoa binti wa Obama awe shemeji yetu umefikia wapi Mkuu, sie wabongo si unajua tunataka tuanze kuvimba sie Mashemeji wa White House ya USA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka SanaNdio msanii wa ngazi ya kimataifa Afrika nzima sijawahi ona.
Ana ile ngoma yake kaimba English mle kuna jeneza. Ile video ile matata sana achana na video vya Godfather aisee. Kuna shots za kiwango cha Hollywood.
Halafu huwezi kukuta jamaa naongelea views za YouTube kama hawa akina sijui mayonaiz.
Tunaoelewa mziki tunamwelewa mkuu. Jamaa kipaji kinajiuza hana matambo. Anapiga show zake huko mbele lakini uwa hapost.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka Sana
Ahsante
🤣🤣🤣🤣 Acha basiTunaoelewa mziki tunamwelewa mkuu. Jamaa kipaji kinajiuza hana matambo. Anapiga show zake huko mbele lakini uwa hapost.
Usicheke mkuu. Wakina diamond wana la kujifunza toka kwa jamaa.🤣🤣🤣🤣 Acha basi