Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Kumbe kweli ulikua umeoa[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Guys mwanaume tafuta pesa uzae na ulee wanao maisha mazuri hili kuhusu NDOA tumepigwa asee ukishindwa basi tafuta katoto kabichi wewe una 40's afu uoe chap



Kwa hiyo huo ubichi ndio utampa uhakika wa maelewano na upendo au maturity ?!

Bila shaka ni zaidi ya hivyo ulivyoandika hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…