Nimemkumbuka sana mama leo

We ni mtoto wa kishua futa hizo sehemu ulizoandika mama uandike "My mom"
Mkuu mimi sio wa kishua na sijawahi bahatika kuwa wa kishua.Nimekulia familia ya chini tu tena kijijini.
 
Kwanini kaka?Pole na samahani.
Umenikumbusha wazazi wangu ,nimejikuta asubuhi naingia kazini nikiwa moodless ,natamani wangekuwepo walau nipige simu kuwaambia nimeamka salama na Sasa naingia kazini .

Uwa naumia kila mtu atajapo wazazi wake hasa kuwajulia hali ninaanza kuwaza kwanini wangu waliniacha ? Kuna muda nipo kazini utaona workmate anaongea na mama yake au baba yake ,basi uwa nanyongonyea sana .

But kuwa na amani bro ,wapende sana wazazi wako na watunze wengine tulitamani wawepo Ila mapenzi yake Allah haikuwa .
Asante.😭😭
 
Mungu ndo mpangaji wa kila kitu,Nawapenda sn mkuu
 
Kiukweli leo nimemkumbuka sana mama yangu,nampigia simu lakini bado nahisi sijafanya kitu.

I LOVE YOU MAMA,I wish ningekuwa na mahela nikupe kila utakacho.

Mungu akubariki hapo ulipo.
tamuuuu bhana, ina maana ni jana tu umemkumbuka? unazingua sana mwamba
hahahhahahah
 
tamuuuu bhana, ina maana ni jana tu umemkumbuka? unazingua sana mwamba
hahahhahahah
Aaaah jamani siku zote namkumbuka,ila siku kadhaa hizi imekuwa sanaaaa
 
Nawapenda sana wazazi wangu.
Baba na mama, muishi maisha ya furaha na amani telee.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
ok mkuu, habari ya siku mingi mingi? wasalimie ukiwapigia simu for me
Ndugu yangu namshukuru Mungu nipo ok, vip wewe u hali gani? Zimefika zimefika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…