Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

Weekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.

Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.
Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.

Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Inawezekana chanzo ni wewe ila mpe mtaji
Msaidie hiyo biashara ni ngumu sana
Pia anahitaji ushauri nasaha
 
Inawezekana chanzo ni wewe ila mpe mtaji
Msaidie hiyo biashara ni ngumu sana
Pia anahitaji ushauri nasaha
Kama umeangalia akaunti yangu vile...
 
Ili iweje?
Ungemchukua ukapige naye story tu...na ungemlipa pesa yake.
Mimi niliwahi kumkuta ex wangu anafanya kazi bar kama barmaid......nikamhitaji kuondoka naye....akaniambi nikihitaji kusepa nae nikalipe kaunta elfu 5. Nikalipa nikasepa naye home. Alilia sana....tuliongea sana. Sikumfanya kitu...asubuhi nikampa chochote kitu akaondoka....japo alisema kama nataka k anipe.
 
Ungemchukua ukapige naye story tu...na ungemlipa pesa yake.
Mimi niliwahi kumkuta ex wangu anafanya kazi bar kama barmaid......nikamhitaji kuondoka naye....akaniambi nikihitaji kusepa nae nikalipe kaunta elfu 5. Nikalipa nikasepa naye home. Alilia sana....tuliongea sana. Sikumfanya kitu...asubuhi nikampa chochote kitu akaondoka....japo alisema kama nataka k anipe.
Asingekubali angejuw namchora ukitilia maanani napajua kwao na ndugu zake
 
Weekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.

Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.
Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.

Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Hivyo na wewe acha kumchukia Baba yako!!!!! Mkuki kwa nguruwe?
 
Mademu wa kishua kama hao ukiwakuta wanafanya mambo kama hizo basi ujue home kuna shida kwenye malezi. Hawa watoto wetu inabidi tuwafundishe kufanya na kuthamini kazi halali.
 
Pole mkuu, hiyo inaitwa migongano ya kunguru.
Mmoja ni kunguru muuzaji na wapili kunguru mnunuzi
Kwa ujumla ninyi wote ni malaya[emoji23]
Weekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.

Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.

Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.

Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa WhatsApp. Hapa nilipo tangu juzi namtafuta hapokei simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babu! Huyo ni mke wako
1. Wewe ndiye mwanaume wake wa kwanza.
2. Ulivyomuona kwa mara ya pili ulimpenda tena.
Mtafute mfunge ndoa nipate bibi..!🤸
 
Babu! Huyo ni mke wako
1. Wewe ndiye mwanaume wake wa kwanza.
2. Ulivyomuona kwa mara ya pili ulimpenda tena.
Mtafute mfunge ndoa nipate bibi..!🤸
Kwanini unapenda kufukua makaburi? acha marehemu thread wapumzike.
 
Back
Top Bottom