gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,312
- 3,345
Kama Bashe mwenye wizara yako upo humu utaniwia radhi kwani hawa wamasai wamezidi dharau.
Leo nimemkuta masai anachunga ndani ya shamba huku akipawabembeleza ng'ombe wake kwa miruzi wale shambani kwangu jambo ambalo nimewaza nimeona njia rahisi ni kpuliza sumu ndani ya shamba yeyote ataejichanganya iwe fundisho kwa wengine.
Hawa ukisema uhangaike nao mahakamani wanauza ng'ombe kesi imeisha,ukisema uzozane nao wanaweza kukata na sime,nimeona njia nyepesi ni hii.
Nisaidieni jina la sumu yanyekuuwa taratibu tafadhari.Sumu inayopanda taratibu ng'ombe wakafie makwao.
Leo nimemkuta masai anachunga ndani ya shamba huku akipawabembeleza ng'ombe wake kwa miruzi wale shambani kwangu jambo ambalo nimewaza nimeona njia rahisi ni kpuliza sumu ndani ya shamba yeyote ataejichanganya iwe fundisho kwa wengine.
Hawa ukisema uhangaike nao mahakamani wanauza ng'ombe kesi imeisha,ukisema uzozane nao wanaweza kukata na sime,nimeona njia nyepesi ni hii.
Nisaidieni jina la sumu yanyekuuwa taratibu tafadhari.Sumu inayopanda taratibu ng'ombe wakafie makwao.