Nimemkuta masai amesimamia ng'ombe wale ndani ya shamba langu la mazao kusudi, ni sumu gani inauwa ng'ombe taratibu niwafunze adabu?


Uadui Na vita vya namna huyo uenda mpaka Kwenye mauaji Na kuchomeana Nyumba; mpige picha then ka report!

Nimeshawi Kwenda magereza weekend Moja Ki masiahara; Hakuna ambaye hajuti mle ndani, Tatua mambo yako Kwa busara Na sio hisia.
 
Sasa hapo atajua mwenyewe maana wakati anaingiza mifuko yake shambani akuniambia na mifugo yake ikipata matatizo asinitafute.
Yaani Wala siongei
Sasa mtu kama ana ujasiri wa kuchungia mifugo kwenye shamba la mwenzie bado tumhesabu ana akili timamu?
 
Hahaha hii ishu ya ASALI asikwambie mtu.Kuna masai aliwahi leta pigo za hivi home zamani kidogo mzee akatilia asali upande wa kuingilia shambani.Mda mfupi tuu ilikuwa ni kilio kwa yeroo
 
deal na mchunga ng'ombe ye ndo umpe sumu maana hao wanyama hawana akili yoyote wao wanaongozwa tu.
ng'ombe hawana kosa lolote usiwadhuru
 
Asee nimesahau jina la dawa huko kilosa 2017 kuna mmasai aliingiza mifugo yake kwenye kishamba changu Kuna jamaa marehemu kwa Sasa alinipa dawa nipulize shamban alfajir

Kiukweli wale masai walirud Tena mchana wake na kund la mifugo Yao mkuu hakuna mfugo uliobaki wote walikufa

Ndio Mara ya kwanza kumuona masai mtu mzima akilia na kutukana matus kilugha chao

Kifup jamaa walianza life zero km hawakubak na kitu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…