Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Duh hii kali ndugu,wanywe maji mpaka wapasuke eheheheFuata ushauri wa kuweka asali aisee ni hatari.Ngombe wakila nyasi wanaona utamu wanakula zaidi then wanapata kiu kali sana.Kila wakinywa maji hawashibi hadi wanapasuka matumbo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine wanaishiwa nguvu sababu ya kunywa maji mengi wanakata roho unawaona.Duh hii kali ndugu,wanywe maji mpaka wapasuke ehehehe
unyama unyamawatu katika mafunzo ya ukatili
Nme base kwenye mada ya muhusika.Jamii zote za wafugaji Ni wakorofi sana
Sure.Nakubaliana na wewe
Safi sana na hii ndio dawa yao, mtu umelima kwa jasho yeye analishia mifugo yake tabia mbovu. Hao wamasai huku kaskazini kwa asili Yao hawafanyi huu ujinga maana watu huko watakuua dakika sifuri Sasa nawaona huwa wanawatesa wananchi wa Morogoroulimaji wangu waga ni wa remote sana hata na naonekana kwa nadra sana maana naishi mjini yalikufa uko zaidi ya 60+
Dawa ya jeuri kiburi
Wamasai si wakuhurumiwa wanatesa sana wakulima. Nikiendaga Morogoro nawasikitia sana wakazi wa hukoAsee nimesahau jina la dawa huko kilosa 2017 kuna mmasai aliingiza mifugo yake kwenye kishamba changu Kuna jamaa marehemu kwa Sasa alinipa dawa nipulize shamban alfajir
Kiukweli wale masai walirud Tena mchana wake na kund la mifugo Yao mkuu hakuna mfugo uliobaki wote walikufa
Ndio Mara ya kwanza kumuona masai mtu mzima akilia na kutukana matus kilugha chao
Kifup jamaa walianza life zero km hawakubak na kitu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakika. Ng'ombe/Mnyama hajui kwamba anaharibu au anachokula wewe ndo ulikistawisha hapo. Yeye kama mnyama anakula chakula tu.Ndo maana usipompeleka kwenye majani atajifia hapo hana akili hata ya kutoroka. Shughulika na huyo Nduli anayewaleta ng'ombe kuchunga shambani kwako as if hilo ni chungio la ng'ombe. Awajibishwe mwenye ng'ombe kwa Sheria zilizopo. Ni kweli kwamba ss wafugaji (Baadhi yetu) ni wajeuri sana lakini ni waoga mno inapofikia Sheria.deal na mchunga ng'ombe ye ndo umpe sumu maana hao wanyama hawana akili yoyote wao wanaongozwa tu.
ng'ombe hawana kosa lolote usiwadhuru
Shieee nyie ormekii muko na matatiso sana. Sisi ng'ombe setu anakunya kwenye mashamba zenu inaacha mbolea arizi anapata rutuba musuri mukilima mazao inakuwa musuri lakini ormekii haitaki sisi masai achungie mashambani.Wamasai si wakuhurumiwa wanatesa sana wakulima. Nikiendaga Morogoro nawasikitia sana wakazi wa huko
Kuna sehemu Masai akanyagi. Izo jamiii zote za wafugaji zinaonea sehemu za wazembe wazembeWamasai huonea waswahili wa Morogoro vile ni wapole mmasai mbele ya mkurya au mchaga hafanyi huo ujinga wa hivo atashushiwa mapanga ajue hajui
Uko sahihi mkuu kwa watu wakali na watata hawadhubutu fanya huo ujinga mara nyingi huwaonea watu wazembe wanaopenda kumwachia Mungu mambo Yao badili ya ku deal nao perpendicularlyKuna sehemu Masai akanyagi. Izo jamiii zote za wafugaji zinaonea sehemu za wazembe wazembe
[emoji23][emoji23][emoji23]kama naona hyo shieee unavotamka na mapengo ya jino iliyong'olewa shaaaShieee nyie ormekii muko na matatiso sana. Sisi ng'ombe setu anakunya kwenye mashamba yenu inaacha mbolea arizi anapata rutuba musuri mukilima mazao inakuwa musuri lakini ormekii haitaki sisi masai achungie mashambani.
Shieeee, ormekii mushamba sana.
Dawa ni sumu tu hapo ukideal na mchungaji ni kujitaftia matatizo makubwaHakika. Ng'ombe/Mnyama hajui kwamba anaharibu au anachokula wewe ndo ulikistawisha hapo. Yeye kama mnyama anakula chakula tu.Ndo maana usipompeleka kwenye majani atajifia hapo hana akili hata ya kutoroka. Shughulika na huyo Nduli anayewaleta ng'ombe kuchunga shambani kwako as if hilo ni chungio la ng'ombe. Awajibishwe mwenye ng'ombe kwa Sheria zilizopo. Ni kweli kwamba ss wafugaji (Baadhi yetu) ni wajeuri sana lakini ni waoga mno inapofikia Sheria.
Sisi huku kwetu tumeweka wigo (Masanzu ya miiba) kuzunguka shamba ili kuwazuia ng'ombe, mbuzi, punda n.k. Lakini bado Wachungaji kwa ujeuri wao hutoboa/wanaondoa baadhi ya miiba(Masanzu ) ili mifugo yao iingie halafu mifugo ikiingia wao wanajificha kuangalia/kuchungulia ni nini kitaendelea. Ni wapuuzi kweli-kweli.
Sishauri kuweka sumu kwani sumu yaweza kudhuru hadi binadamu. Je, utapenda kuhesabika kwamba wewe ni mwuaji/umeua watu kwa sumu kisa ni ugomvi wa malisho(Kumbuka hawa jamaa hula mizoga).
Kivipi Mkuu?; Tofauti na Waswahili, Uadui wa Mmasai hauishi kama ni suala la uuaji. Wakisha Aminishana kwamba Fulani alimuua ndg. yetu Mmasai, basi wao kwa ujinga huo-huo wa kulisha mifugo shambani wataliendeleza na kurithishana na kila ikipatikana nafasi/fursa watakuua wewe, mtoto wako, mke wako, watamwua Jamaa/Ndg. yako ..... kwa hiyo ni visa juu ya visa. Hakuna Amani kati yako na Jamii hiyo.Dawa ni sumu tu hapo ukideal na mchungaji ni kujitaftia matatizo makubwa
Wamasai ni jamaa zangu sana ila reasoning yao huwa ina flaws. Hawanaga rational judgement, anafanya kile anataka yeye.[emoji23][emoji23][emoji23]kama naona hyo shieee unavotamka na mapengo ya jino iliyong'olewa shaaa
acheni kuchochea upuuzi jamii bora haijengwi kwa visasi bali ni kwa kutafuta suluhisho la hio migogoroDawa ni sumu tu hapo ukideal na mchungaji ni kujitaftia matatizo makubwa