Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[/COLOR]Mkuu nilikuuliza maswali 4 lakini hujayajibu,kama simu ni kwa mawasiliano ya kujenga basi ungemjenga kwanza beki tatu wako juu ya matumizi bora ya simu pasi na kumnyang'anya.
Kwenye red:Inaonekana beki tatu wako kuchukuliwa inakuuma sana,kunani mwenzetu???
hujanielewa mkuu!! Hakuna anaesema ama anmbae angependa nyumbani kwake kugeuzwe dangulo!! Nnachokizungumzia mm ni ww kumnyanganya simu kama adhabu ! Kakushindwa kitabia mrudishe kwao tafuta mwingine! Lakini sio kumpiga na kufanya umfanyiayo!nilishamuimbia nyimbo zote unazozijua wewe kuhusiana na hii kitu. Na ndiyo maana wikiend yeye huwa anapata off ya kwenda mjini kutembea nikiamini huko ndo angemalizia hizo hamu zake. Nadhani amenogewa au huenda hao bf wake hawana uwezo wa kwenda guest ndiyo maana wanakuja kumalizana naye kwangu. Unajua kwako wewe unaona sawa beki tatu akifanyia mapenzi ndani ya nyumba yako ila mimi nadhani hiyo si sawa kabisa, binadamu tuko tofauti na ktk hili tumetofautiana
umemkosea heshima.hebu fikilia wewe boss wako akunyang'anye simu utajiskiaje.kama umemchoka mrudishe kwao kuliko kumnyanyasa kwa vitu vodogo vidogo.kwani nyie ndo mtamuoa?.au hamtaki awe na malafiki.kwani yeye mfungwa?.acheni ukilitimba.mia
hujanielewa mkuu!! Hakuna anaesema ama anmbae angependa nyumbani kwake kugeuzwe dangulo!! Nnachokizungumzia mm ni ww kumnyanganya simu kama adhabu ! Kakushindwa kitabia mrudishe kwao tafuta mwingine! Lakini sio kumpiga na kufanya umfanyiayo!
Yuko mama mtanzania kafungwa jela juzi Uingereza kwa sababu ya mambo haya haya ya kunyanyasa mtumishi wa ndani.
Ndugu zangu u hausgel ni ajira kama zilivyo ajira nyingine,hivyo zina miiko yake kwa mwajiri na mwajiriwa.Nchi hii sijawahi kusikia ajira inayosema mwajiri akae na simu ya mwajiriwa hadi atakapoenda likizo.Wajuzi wa sheria za kazi jamani nisaidieni.
by the way Mkuu mrusha uzi,huyo hausgel unamlipa sh ngapi kwa mwezi?
Mtu mzima kabisa huyo ana maamuzi yake, ni kumuelewesha tu vizuri kwa upole angekuelewayuko kwa age ya 25yrs
yuko kwa age ya 25yrs
hujanielewa mkuu!! Hakuna anaesema ama anmbae angependa nyumbani kwake kugeuzwe dangulo!! Nnachokizungumzia mm ni ww kumnyanganya simu kama adhabu ! Kakushindwa kitabia mrudishe kwao tafuta mwingine! Lakini sio kumpiga na kufanya umfanyiayo!
Yuko mama mtanzania kafungwa jela juzi Uingereza kwa sababu ya mambo haya haya ya kunyanyasa mtumishi wa ndani.
Ndugu zangu u hausgel ni ajira kama zilivyo ajira nyingine,hivyo zina miiko yake kwa mwajiri na mwajiriwa.Nchi hii sijawahi kusikia ajira inayosema mwajiri akae na simu ya mwajiriwa hadi atakapoenda likizo.Wajuzi wa sheria za kazi jamani nisaidieni.
by the way Mkuu mrusha uzi,huyo hausgel unamlipa sh ngapi kwa mwezi?
hyom ishu seriouz hatukatai ana haki ya ku do na hao vidume wake lakini sio kwako,ni risk sana aseee,wizi,na hata kukla angekuwa anakula nao utashangaa unga haukai stooo mara sukari imeisha,tumbafu sao