Simu ni kwa ajili ya mawasiliano ya kujenga na sio kubomoa. Au unadhani kwa kuwa Mungu amekupa hicho kinaniii chako basi ndo ukitumie tu hovyohovyo hata kwa matumizi yasiyo na maadili? Au tuseme ukimuweka mlinzi akulindie mali zako basi ni ruhusa yeye kukuibia?
sikubaliani na kitendo cha housegirl kuleta vivulana vyake nyumbani kwako, atakuharibia watoto, nakumbuka wakati nikiwa mdogo housegirl alikua anatufungia balcon yeye anajirusha ndani, kama hatujala mchana huo imekula kwetu!! tukianguka tukaumia imekula kwetu, ila nashukuru sikujua wakitufungia huko wao ndani wanafanya nini la sivyo mmmmmh.
lakini pamoja na yote hayo mrudishie huyo binti simu yake, asije zidiwa mihemko akamwinda baba watoto wako. lakini kabla hujamrudishia ni vyema ukazungumza nae umwambie ukweli hutaki vivulana vyake hapo, na ukimfuma nao tena hiyo ajira ndo bye bye, mweleza madhara ya mapenzi bila kinga na ajue akinasa hana lake hapo, maana kama ana umri wa miaka 25 huyo ni mtu mzima kama ana akili atashika maneno yako, meanwhile uwe unarudi home mara kwa mara mida tofauti msuprise ucheki anafanya nini.
Mhhh! Nadhani huu mfano uliotumika hapa hauna uhusiano na mada. Umesema simu ni ya kwake na kiboksi manyoya ni cha kwa kwake sasa mali ulizokuwa unaibiwa wewe ni zipi? Kama alikuwa anavi-entertain hivyo vivulana kwa kuvipa chakula na vinywaji kwa gharama zako sawa.
Masikini_Jeuri; yaelekea limekugusa sana hili mkuu ndio eneo la mawindo yako nini..................
Wote mnaomsakama huyu mnatambua kuwa pamoja ni kuwa mfanayakazi lakini akishakuwa ndani ya nyumba anahesabiwa kama mtoto wa familia? hebu chukulia ni binti yako....................ungechukua hatua zipi?
Hapo kwenye blue mkuu ndo watu tunapishana. Hata kama siyo kumpiga, moja wapo ya adhabu ni kumuondolea privileges-simu. Kama jamaa ulishamkalisha na bado analeta vijana ndani nadhani naye pia atakuwa amemkosea heshima jamaa. Sidhana kwa kuwa ni binti mkubwa wa wa kuwa na b/friend basi nyumbani kwa jamaa ndo liwe genge la kukutania na hao vijana. Kwa vile ni H/girl watu wanasema hujamtendea haki, akiwa binti yako ndo analeta wanaume ndani sidhani kuna mtu angepinga kumchukulia hatua.
Mruhusu mumeo am2ombe house girl siku moja moja, wazee wa zamani walifanya hivyo na kijakazi aliishi kwa utulivu kabisa.Hata mimi siwezi kubali nyumba yangu igeuzwe jangulo. ILa kwa kuwa h/girl ni mkubwa muwe mnampa off every sunday akamalize mihemko yake. Watu wengi tunawafuga ma h/girl kama kuku ndo maana mwisho wa siku wanacheza ndani humo humo. Mara kumi akafanye mambo yake huko huko nje; akija kwangu aoge aendelee na kazi.
🤣🤣🤣🤣🤣Mruhusu mumeo am2ombe house girl siku moja moja, wazee wa zamani walifanya hivyo na kijakazi aliishi kwa utulivu kabisa.
Mkuu Rejao bado uko hai kweli? Ama wasiojulikana walishafanya yao?Inabidi tu ukubali kuwa umefanya vibaya...mrudishie mtoto wa watu simu yake!
...du mtoto anaitwa katoto!!!simu umnyang'anye na makofi juu, looo wewe baba una nini
siku yaja utakuta kakabanika hako katoto kako kwenye oven
usiache kuyaleta hapa jamvini.