Nimempa elfu 50 na bado akanidai elfu moja ya nauli

Nimempa elfu 50 na bado akanidai elfu moja ya nauli

Hahaa sa kwani hiyo alfu 50, ulikua umempa ya nauli....!?

We jamaa hovyo sana.

Nenda kasome ule uzi wa mama J, mama wawili, Irini na prisca, then leta mrejesho.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣,we nae acha lawama bwana....Sasa 50 haijakuuma buku ndio inakuuma ,,ungetuma hiyo 50 si ingekuwa ya kutolea tena hapo ilibidi umuongezee 1600+1000=2600tozo ya kutolea
 
IMG_5256.jpg
 
Hawa viumbe ni shida aisee, kuna mmoja nilimtumia 40 hakujulishi kama amepata mpaka umpigie simu kumuuliza
 
Back
Top Bottom