Nimempa mimba mama mwenye nyumba wangu

Nimempa mimba mama mwenye nyumba wangu

Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Sasa wewe ndiye baba mwenye nyumba! Peleka sadaka
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Huko chumbani kwako yasikosekane mafuta.
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..

Unatumi tatepa kwenye chai? Au jaba
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Huyo ndio mkeo tena na wewe umekuwa father house.Ila kichwa yako ijiandae kuwa kibuyu cha father house wa ukweli.
 
Dogo kimbia hiyo nyumba haraka sana lasivyo utakuja upakwe wese na Elewa kwamba watu wa huko Wana hasira sana jiandae kwa lolote kurogwa au kupakwa wese.

Acheni mazoea na wake za watu.
 
Mmmmm kuna siku yako utaishia pabaya ....wahehe hao daaaa kaI sanaaa....kama unaweza kimbia kabla ya shule kufunguaaa ....utapigwa kitu hujawahi onaaa....
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..

Baba mwenye nyumba anakuita ukachek movie juu!
 
Back
Top Bottom