van xoussam
Member
- Sep 22, 2015
- 29
- 13
Subiri ikutokee puani kama yule wa Keko juzi alie katwa naniiii zikaachwa zile balls mbili tu.Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nilianza mazoea na mdogo mdogo na huyu dada ambaye sikujua kama kaoelewa au laa, kumbe kuna baadhi ya watu walikuwa wananionea huruma sana kwa ukaribu wangu na yule dada, wakijiuliza na wasipate majibu ya kwamba kwanini niko penzini na mke wa mtu tena bila kificho.
Kwakweli mimi yule dada nilimuuliza kuhusu kama ana mume lakini alikataa na kudai hana mume
Alikuwa ana kuja kufua nguo zangu na kufanya usafi gheto kama kawaida then napiga show la kufa mtu anaenda zake.
Sasa juzi kaja kunambia eti ana mimba yangu sasa mimi huwaga sikatai mimba maana hadi muda huu nina watoto kama 7 wote wa kuchapa mimba sehemu tofauti tofauti, baada ya kunambia hivyo nikamwambia hakuna shida zaa tu wangu.
Leo kanitumia SMS kaniambia hajui atakuja kumwambia nini mume wake, nikamuuliza kwani una mume akasema ndiyo nina mume sema sikukwambia aisee nimechoka mwenyewe wadau.
Nimemwambia mama mmoja hapa kanambia alikuwaga ananishangaa na kunihurumia sana kutembea na mke wa mtu, lakini mimi nimemwambia nilikuwa sijui jamani.
Kanihurumia sana na kanipa pole nyingi sana.
Ninalo mwaka huu wazee.
Naombeni ushauri wenu wadau nifanyeje.
LONDON BABY
Hamia chademaAmani iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nilianza mazoea na mdogo mdogo na huyu dada ambaye sikujua kama kaoelewa au laa, kumbe kuna baadhi ya watu walikuwa wananionea huruma sana kwa ukaribu wangu na yule dada, wakijiuliza na wasipate majibu ya kwamba kwanini niko penzini na mke wa mtu tena bila kificho.
Kwakweli mimi yule dada nilimuuliza kuhusu kama ana mume lakini alikataa na kudai hana mume
Alikuwa ana kuja kufua nguo zangu na kufanya usafi gheto kama kawaida then napiga show la kufa mtu anaenda zake.
Sasa juzi kaja kunambia eti ana mimba yangu sasa mimi huwaga sikatai mimba maana hadi muda huu nina watoto kama 7 wote wa kuchapa mimba sehemu tofauti tofauti, baada ya kunambia hivyo nikamwambia hakuna shida zaa tu wangu.
Leo kanitumia SMS kaniambia hajui atakuja kumwambia nini mume wake, nikamuuliza kwani una mume akasema ndiyo nina mume sema sikukwambia aisee nimechoka mwenyewe wadau.
Nimemwambia mama mmoja hapa kanambia alikuwaga ananishangaa na kunihurumia sana kutembea na mke wa mtu, lakini mimi nimemwambia nilikuwa sijui jamani.
Kanihurumia sana na kanipa pole nyingi sana.
Ninalo mwaka huu wazee.
Naombeni ushauri wenu wadau nifanyeje.
LONDON BABY
Usijali, nawe mpe mme wake mkeo ampe mimba haina shidaMatunzo yenyewe mkuu hayana shida kabisa shida nimempa mimba mke wa mtu
Usihofu mwambie mumewe ulikua unamtengezea njia tu ingeziba miaka mingi .atakuelewa na kukuona umesaidiaMbona mimi mwenyewe sina gar then nimunulie gar mtu
mkuu KY tena?,..ya nn sasa?...au ili akikutana na mume Wa hiyo Dada afirike bila maumivu ya utumbo mkubwa Wa kutoa uchafu nje ya mwili???[emoji125] [emoji125] [emoji125]Mwambie akurudishie mimba yako.
Usiwe mpole kiasi hicho kumpa kila mtu.
Hakikisha unatembea na KY kila uendako