Nimempa mimba mke wa mtu lakini mumewe yuko mbali kikazi

Usizini,kwa kuwa ushazini omba kwanza toba ya dhambi zako.

Ongea na Mungu usikie atakwambia nini
 
Hakuna kitu kinauma kama kuchapiwa mke, kumtia mimba linauma zaidi.
 
Subiri akija ndomana wanasema wanaaoongoza kupata ukimwi ni wale wanaotembea na wake za watu na wanafunzi maana wanahisi wale wako salama ndomana mnawagonga dry, sasa mke wa mtu utamfanyaje bila condom?
 
mimi huwaga sikatai mimba maana hadi muda huu nina watoto kama 7 wote wa kuchapa mimba sehemu tofauti tofauti, baada ya kunambia hivyo nikamwambia hakuna shida zaa tu wangu.
LONDON BABY
Aiseeee!
 
Subiri akija ndomana wanasema wanaaoongoza kupata ukimwi ni wale wanaotembea na wake za watu na wanafunzi maana wanahisi wale wako salama ndomana mnawagonga dry, sasa mke wa mtu utamfanyaje bila condom?
Aliniambia hajaolewa mkuu
 
Mimi Niko Zimbabwe na Roma mkatoriki tuna uza karanga za diamond wanazipenda balaa hamia huku kiongozi achana na stress za bongo
 
Mimi Niko Zimbabwe na Roma mkatoriki tuna uza karanga za diamond wanazipenda balaa hamia huku kiongozi achana na stress za bongo
Kweli mkuu sasa nipande bus gan mkuu
 
Kitu nisichopenda in mke wangu kuwa na urafiki na jinsia ya kiume, wanawake no wepesi sana kuragaika, nwanaume unapwasa kuwa jasiri sana na kumkemea mke wako akikuletea habari eti huyu in rafiki yangu, hii inasaidia ikitokea kacheat basi kubali matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…