Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Dhambi zingine ukizitenda kamwe hazikuachi salama kama siyo wewe basi vizazi vyako. Huwa tunajifanya jeuri tu lakini tukija kupatilizwa tunaanza kumlalamikia Mungu kumbe mbegu za uharibifu katika familia na vizazi vyetu tulishazipanda sisi wenyewe kwa tamaa zetu za kihayawani....Harafu baadae maskini wanakuja kukejeliwa hapa single mama huku mtu mzima na ufahamu wake kaharibu future ya huyu mtoto sidhani huyu binti kama Ana miaka 18, hakika wanaume mna roho mbaya sana imagine ndo binti yako.
Muachie nyumba ondoka.Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Me sijaelewa uhusiano wa mahakama na starehe za watu. Hapo anaetakiwa kulalamika ni house girl kuwa hapewi matunzo ya mtoto baada ya ujauzito ila sio mke kusema mume aondoke, hana adabu nini, yaani niondoke kwangu, aondoke yeye aende kwa wazazi wake ebo.Mpangishie chumba huyo dada mbadilidhie namba ya simu na mkienda mahakamani unakataa macho makavu kuwa hujawahi kulala na huyo binti
Hapo hajamuharibia bali kamuongezea ustawi wa jamii. Huoni sasa huyu amekuwa mke wa jamaa.Mabinti wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndio anasaidia familia yake kwanini umuharibie maisha, huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu. Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wewe
Wakati unafunga ndoa ulituomba ushauri? Au huu ushauri tunaouweka hapa huwa hamuoni?Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Kataa ualimiMimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Anaenda kudai talaka mahakamaniMe sijaelewa uhusiano wa mahakama na starehe za watu. Hapo anaetakiwa kulalamika ni house girl kuwa hapewi matunzo ya mtoto baada ya ujauzito ila sio mke kusema mume aondoke, hana adabu nini, yaani niondoke kwangu, aondoke yeye aende kwa wazazi wake ebo.
Wanafunzi waliwa tu, tena wale wazuri wote huanza na maticha.Mabinti wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndio anasaidia familia yake kwanini umuharibie maisha, huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu. Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wewe
Hapa ndipo alipozingua! Hawa viumbe wanaliwa kwa akili sana.Mkuu si ungetumia condom.
Mtie moyo mwalim mwenzio😂😂Ndio ukome!!
Umeyataka
Ashinde mechi zake tu no way!Mtie moyo mwalim mwenzio😂😂
Hawa ndio wapumbavu wachache wanaofanya taaluma ya ualimu ionekane ya hovyo.Mabinti wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndio anasaidia familia yake kwanini umuharibie maisha, huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu. Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wewe
Kweli kabisa mama JuniaHawa ndio wapumbavu wachache wanaofanya taaluma ya ualimu ionekane ya hovyo.
Yaani walimu wa kiume bhana, Mara muwape mimba wanafunzi Mara ma house girl😬😬 Hivi mpaka unavyokula mzigo kavu kavu hujui consequences zake? Alafu ndio mnatufundishia watoto wetu nyinyi moral and virtual in the society.Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Angalia huyu naye alivyomalizia, we ushawatia wangapi hapo kwako? Ni sifa kwa mwanaume au ujinga. Binti amekuja kwaajiri ya kazi mumlioe mshahara wake wewe unamlaghai na kumharibia maisha yake kwa nyg mshindo wako.Mwalimu unashindwaje ku solve issue ndogo hivyo.
Kwanza mtoe huyo house girl hapo mkeo asijue ulikompeleka
Hatua ya pili huko mahakamani hawezi kutoboa so case closed
Hasira zikimuisha akili itamrudia na maisha yataendelea kama kawaida.
Nimalize kwa kukupongeza kumtia huyo house girl wako kibendi