Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Harafu baadae maskini wanakuja kukejeliwa hapa single mama huku mtu mzima na ufahamu wake kaharibu future ya huyu mtoto sidhani huyu binti kama Ana miaka 18, hakika wanaume mna roho mbaya sana imagine ndo binti yako.
Dhambi zingine ukizitenda kamwe hazikuachi salama kama siyo wewe basi vizazi vyako. Huwa tunajifanya jeuri tu lakini tukija kupatilizwa tunaanza kumlalamikia Mungu kumbe mbegu za uharibifu katika familia na vizazi vyetu tulishazipanda sisi wenyewe kwa tamaa zetu za kihayawani....
 
Muoe house girl haraka mwambie huyu ni mke mwenzako kama hautaki kuishi nae ondoka atalea watoto wewe nenda kadange kama unajiheshimu bakia hapa na watoto na mwenzako tutulie tulee familia.
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Muachie nyumba ondoka.

Huo ndiyo ushauri bora kabisa.
 
Mpangishie chumba huyo dada mbadilidhie namba ya simu na mkienda mahakamani unakataa macho makavu kuwa hujawahi kulala na huyo binti
Me sijaelewa uhusiano wa mahakama na starehe za watu. Hapo anaetakiwa kulalamika ni house girl kuwa hapewi matunzo ya mtoto baada ya ujauzito ila sio mke kusema mume aondoke, hana adabu nini, yaani niondoke kwangu, aondoke yeye aende kwa wazazi wake ebo.
 
Mabinti wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndio anasaidia familia yake kwanini umuharibie maisha, huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu. Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wewe
Hapo hajamuharibia bali kamuongezea ustawi wa jamii. Huoni sasa huyu amekuwa mke wa jamaa.
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Wakati unafunga ndoa ulituomba ushauri? Au huu ushauri tunaouweka hapa huwa hamuoni?
 
Kwa mlio kwenye ndoa hata kama una michepuko nje au una pisi umeipangishia chumba nje fanya kila liwezekanalo mwanamke wako asijue hyo issue maana wanawake wana visasi vibaya sana bora ahisi tu ila asiwe na uhakika trust is only once hakuna second chance.
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Kataa ualimi
 
Me sijaelewa uhusiano wa mahakama na starehe za watu. Hapo anaetakiwa kulalamika ni house girl kuwa hapewi matunzo ya mtoto baada ya ujauzito ila sio mke kusema mume aondoke, hana adabu nini, yaani niondoke kwangu, aondoke yeye aende kwa wazazi wake ebo.
Anaenda kudai talaka mahakamani
 
Mabinti wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndio anasaidia familia yake kwanini umuharibie maisha, huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu. Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wewe
Wanafunzi waliwa tu, tena wale wazuri wote huanza na maticha.

Wenyewe wanaita teaching allowance.. si unajua ualimu hauna posho?
 
Mabinti wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndio anasaidia familia yake kwanini umuharibie maisha, huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu. Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wewe
Hawa ndio wapumbavu wachache wanaofanya taaluma ya ualimu ionekane ya hovyo.
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Yaani walimu wa kiume bhana, Mara muwape mimba wanafunzi Mara ma house girl😬😬 Hivi mpaka unavyokula mzigo kavu kavu hujui consequences zake? Alafu ndio mnatufundishia watoto wetu nyinyi moral and virtual in the society.
Poor mwalimu, linywe sasa
 
Mwalimu unashindwaje ku solve issue ndogo hivyo.

Kwanza mtoe huyo house girl hapo mkeo asijue ulikompeleka

Hatua ya pili huko mahakamani hawezi kutoboa so case closed

Hasira zikimuisha akili itamrudia na maisha yataendelea kama kawaida.

Nimalize kwa kukupongeza kumtia huyo house girl wako kibendi
Angalia huyu naye alivyomalizia, we ushawatia wangapi hapo kwako? Ni sifa kwa mwanaume au ujinga. Binti amekuja kwaajiri ya kazi mumlioe mshahara wake wewe unamlaghai na kumharibia maisha yake kwa nyg mshindo wako.
Kama mama yoyoo hakuridhishi si umtafute mtu mzima mwenzio na si hawa watoto.
Tujitambue wanaume
 
Back
Top Bottom