Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Kama amekuoa yeye sawa ondoka tu, ila kama ni mke wako basi mwambie aondoke yeye utangaze ndoa na housgirl.

Halafu kama anakunyima tunda wewe endelea kula huyo mfanyakazi wenu. Wajawazito ni watemu sijapata kuona
 
Daah kazi kweli kweli unaenda kavu kavu popote si hatari hiyo ungeweza hata kuteketeza familia yako kwa ugonjwa, kweli Ujinga ni ugonjwa dada zetu wanapitia magumu mno kama unataka papuchi mbona kibao tu majambazi yamejaa mtaani unachagua wewe mwenye mgongo au nyembamba mpaka unamdharirisha mkeo humo humo ndani kitanda unachotumia na mkeo unawalaza wengine ndio maana mikosi kwenye nyumba haiishi aisee....
 
Mabint wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndo anasaidia familiayake kwann umuharibie maisha huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu
Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wew
Sasa kwani mwalimu kumla mwanafunzi shida iko wapi....sii kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Daah kazi kweli kweli unaenda kavu kavu popote si hatari hiyo ungeweza hata kuteketeza familia yako kwa ugonjwa kweli Ujinga ni ugonjwa dada zetu wanapitia magumu mno kama unataka papuchi mbona kibao tu mtaani mpaka unamdharirisha mkeo humo humo ndani kitanda unachotumia na mkeo unawalaza wengine aisee....
Sasa wee ulionaga wapi watu wakichepuka wanatumia ndom? Ndom labda anachepuka kwa malaya. Mnajidanganya sana nyie watu
 
Mabint wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndo anasaidia familiayake kwann umuharibie maisha huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu
Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wew
Mbona mtoa mada amesema alitegwa? Unajua madhara ya mwanamke chuchu saa sita kukutega na wewe kumuacha tuu? Je angepeleka hasira Kwa watoto?
 
Back
Top Bottom