Nimempa ujauzito mke wa mtu

Nimempa ujauzito mke wa mtu

CHILLAX ndugu yangu....tulia tuliiii

Maana unaweza kuta hata wewe SIO MTOTO WA HUYO UNAYEZANI NI BABA YAKO.....


tena hata wengine humu nao watulie waache kukusakama...hawana uhakika na baba zao maana siri wamezibeba mama zao..sio wao..

We omba toba tu muachie mdada alee zake
Uzi ufungwe... Jibu hili hapa
 
Hiyo dhambi ya kuzini na mke wa mtu ni kubwa mno na hata tawbah yake ina masharti mazito.
Kimsingi umeangamia mkuu
 
Hapana chezea utamu! 😉
Uzuri wako wee wajisemeaga ukweli ikijaga suala la utamu utamu.

Alafu nilisahau...unavuta picha pia mkeo aliambiwa bby basi tetema kama mayele nione wezere na matiti hayo yaki vibrate🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hey,
Updates ni kwamba huyu mwanamke saiv tumepatana tena na haninunii na ujauzito tayari una miezi miwili,kaamua kuzaa,
halafu kuhusu mumewe itajulikana mtoto akizaliwa..uzuri jamaa alihama home,mwanamke kasema akiulizwa na yeye atawauliza kwani yeye ni mke wa nani?
aliyemuoa ndio aliyempa ujauzito,maana jamaa alisepa home bila any official release,so ngoja niendelee kuona itakuwaje...
 
Back
Top Bottom