Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Uzi ufungwe... Jibu hili hapaCHILLAX ndugu yangu....tulia tuliiii
Maana unaweza kuta hata wewe SIO MTOTO WA HUYO UNAYEZANI NI BABA YAKO.....
tena hata wengine humu nao watulie waache kukusakama...hawana uhakika na baba zao maana siri wamezibeba mama zao..sio wao..
We omba toba tu muachie mdada alee zake