Nimempa ujauzito mke wa mtu

Uzi ufungwe... Jibu hili hapa
 
Hiyo dhambi ya kuzini na mke wa mtu ni kubwa mno na hata tawbah yake ina masharti mazito.
Kimsingi umeangamia mkuu
 
Machungu ndio yanazidi ukiongeza na ile kuwa libolo lilichomoka yeye mkeo kwa mikono yake akairudisha ndani ndio unapoanza kupanga mipango ya gunia za mkaa
hahahaaa.. akili zako sasa!!
 
Hapana chezea utamu! 😉
Uzuri wako wee wajisemeaga ukweli ikijaga suala la utamu utamu.

Alafu nilisahau...unavuta picha pia mkeo aliambiwa bby basi tetema kama mayele nione wezere na matiti hayo yaki vibrate🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hey,
Updates ni kwamba huyu mwanamke saiv tumepatana tena na haninunii na ujauzito tayari una miezi miwili,kaamua kuzaa,
halafu kuhusu mumewe itajulikana mtoto akizaliwa..uzuri jamaa alihama home,mwanamke kasema akiulizwa na yeye atawauliza kwani yeye ni mke wa nani?
aliyemuoa ndio aliyempa ujauzito,maana jamaa alisepa home bila any official release,so ngoja niendelee kuona itakuwaje...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…