Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

hk20

Member
Joined
Aug 1, 2020
Posts
54
Reaction score
75
Screenshot_20240522-191835.png
Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.

Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana

MREJESHO:
Nimekutana na msichana, tukapima nikajihakikishia ni kweli amepata. Baada ya hapo tukazungumza vitu kadhaa, Mimi nilimwambia uhusiano na future itakua Kwa mtoto tu. Ila baada ya kusikia hivyo alikasirika na kuondoka, Kani block namba zote na sehemu zote. Nimefanya jitihada ya kumtafuta Kwa namba ngeni akipokea anasema hataki mawasiliano na Mimi Kwasasa, Hapo imekaaje wakuu!!. Maana alisepa ghafla na nilidhamiria nikimkuta nayo tupashe kipolo😊.

Wakuu Leo jun 25, amenitumia hizi jumbe kwamba nimtumie laki 1, huyu mtu Kani block, nimemwambia unblock na anitumie picha ya ultrasound kwanza, ila hakuna alichofanya Hadi sasa, na hii typing kama sio yake
 

Attachments

  • Screenshot_20240625-114231.png
    Screenshot_20240625-114231.png
    178.7 KB · Views: 10
😃😀 wakati una unolika ulikuwa unaona utamu burudani tu!, hili la kwako ndugu najua ni ngumu kwa mara yakwanza lkn pima vipimo vyako ukiona hakuna dosari basi mpe ushirikiano mama kitumbo wako!.. onyesha jitihada usimuache nahuyo mtoto peke yake,hilo ni lakwenu nyie wawili.
 
Shida yake huyo dada kiasi uone kwenye future yako hafiti ni ipi, au bado unafikiri kwa akili za NYEGE.

kaa chini, MEZA MATE YA AKILI, kisha utupe ubaya wa huyo binti ni upi, kama hana uache utoto lea mimba na mtoto, sio kuwadinya mnawazalisha kisha kesho mnakuja kutukana SINGLE MAZAs hapa.


Lakini huenda hata hakana mimba ni kanakujaza tu. 😂😂
 
View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza naju
Vijana wa chuo bhana, mnapenda utelezi tu , ngoja tukulele mimba yako
 
Back
Top Bottom