Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
Tafuta mwingine mwaga mbegu nduki..

Fanya ivyo kadri uwezavyo

Wasalaam
 
Shida yake huyo dada kiasi uone kwenye future yako hafiti ni ipi, au bado unafikiri kwa akili za NYEGE.

kaa chini, MEZA MATE YA AKILI, kisha utupe ubaya wa huyo binti ni upi, kama hana uache utoto lea mimba na mtoto, sio kuwadinya mnawazalisha kisha kesho mnakuja kutukana SINGLE MAZAs hapa.


Lakini huenda hata hakana mimba ni kanakujaza tu. 😂😂
Shida yake huyo dada kiasi uone kwenye future yako hafiti ni ipi, au bado unafikiri kwa akili za NYEGE.

kaa chini, MEZA MATE YA AKILI, kisha utupe ubaya wa huyo binti ni upi, kama hana uache utoto lea mimba na mtoto, sio kuwadinya mnawazalisha kisha kesho mnakuja kutukana SINGLE MAZAs hapa.


Lakini huenda hata hakana mimba ni kanakujaza tu. 😂😂
Mkuu najua hamtaniamini hapa demu aliniekea mitego mingi ya kumdinya, Hadi ikawa ni mchezo, na anafaham kwamba nilikua simkubali.
 
.una mwagi ndan mnaogop kuzaa , ka ukimwi kapo ,kanatutazam kam hakapo
 

Attachments

  • IMG_20240522_201022.jpg
    IMG_20240522_201022.jpg
    2.7 MB · Views: 5
Back
Top Bottom