Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Mtego huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta mwingine mwaga mbegu nduki..View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
Watoto wa mimba za utata ni kufanana kama UYOGA, yaani anakuwa wewe zaidi ya 70%Niliwahi kusema HIVYO MUNGU fundi Mtoto katoka Copy & Paste, what's this?
Copy & Paste hadi kukataa unaona aibu unaambiwa yule sio wewe kabisa yule na ukimwangalia km unajiangalia kwenye kioo MUNGU anavyojua kuumbua watuWatoto wa mimba za utoto ni kufanana kama UYOGA, yaani anakuwa wewe zaidi ya 70%
Wakati anaikamua utomvu utoke vizuri, what's this?wakati unaminya mpododo ili wese litoke limechujwa clearly uliona burudan,,af kesho unakuja kutunanga single maza,😄😄😄
uskute alkua hataki ata binti wawatu ajitikise.Wakati anaikamua utomvu utoke vizuri, what's this?
Shida yake huyo dada kiasi uone kwenye future yako hafiti ni ipi, au bado unafikiri kwa akili za NYEGE.
kaa chini, MEZA MATE YA AKILI, kisha utupe ubaya wa huyo binti ni upi, kama hana uache utoto lea mimba na mtoto, sio kuwadinya mnawazalisha kisha kesho mnakuja kutukana SINGLE MAZAs hapa.
Lakini huenda hata hakana mimba ni kanakujaza tu. 😂😂
Mkuu najua hamtaniamini hapa demu aliniekea mitego mingi ya kumdinya, Hadi ikawa ni mchezo, na anafaham kwamba nilikua simkubali.Shida yake huyo dada kiasi uone kwenye future yako hafiti ni ipi, au bado unafikiri kwa akili za NYEGE.
kaa chini, MEZA MATE YA AKILI, kisha utupe ubaya wa huyo binti ni upi, kama hana uache utoto lea mimba na mtoto, sio kuwadinya mnawazalisha kisha kesho mnakuja kutukana SINGLE MAZAs hapa.
Lakini huenda hata hakana mimba ni kanakujaza tu. 😂😂
Wajibika.kuzini nae marakadhaa
Binti ameachiwa aichezee KOKI, what's this?uskute alkua hataki ata binti wawatu ajitikise.
Kama alitia awajibike. Huo ndiyo mshahara wa uzinifu.Usiwaamini sana wanawake hiyo mimba nina wasiwasi sio yako unaonekana nice guy utalea hiyo mimba.
Neno langu sio sheria kama ni yako lea hivyohivyo na boom la mwisho.
😄😄😄🖐🏾🖐🏾🚶🏾♀️Binti ameachiwa aichezee KOKI, what's this?
Halafu havitumii hata kondomu. Kutwa vinaugua magonjwa ya ajabu hayana hata majina.Vijana wa chuo bhana, mnapenda utelezi tu , ngoja tukulele mimba yako
Uliripoti polisi kwamba unabakwa?Mkuu najua hamtaniamini hapa demu aliniekea mitego mingi ya kumdinya, Hadi ikawa ni mchezo, na anafaham kwamba nilikua simkubali.