Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Witt 🤣🤣🤣🤣Mara hii jf mmeshakuwa walalahoi?
Full njaa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Witt 🤣🤣🤣🤣Mara hii jf mmeshakuwa walalahoi?
Full njaa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Eeeh shoga niulize maana mmmh[emoji848][emoji848]Witt [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dada Tuache kwanza.Mara hii jf mmeshakuwa walalahoi?
Full njaa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Dokta 🙂 unadanganya na jua lote hiliSawa dada wa bank bank mimi basic yangu ni laki 2 na arubaini alfu
Fala Huyo dogo temana naye as long as you've already informed his forks.Sasa labda mnisaidie wakuu, huyu mtu mimi nimfanyaje maana pia ananiharibia sifa kwa yule jamaa angu aliyenipa hii ramani?
Wanavimba sana MMU eehee kumbe ni wenzetu tu 😂😂Eeeh shoga niulize maana mmmh[emoji848][emoji848]
Humu mi ninachojua kila mtu ana kazi nzuri, raaaaange, mansion, kula bataazz
Sasa maajabu nayaona leo full jobless[emoji848][emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Aisee!Wakuu,naandika hii thread huku nikiwa na hasira za kufa mtu.
Kuna litoto la uncle wangu naishi nalo hapa ghetto,huyu mtu namuona kama sio mzima kichwani kabisa.
Kamaliza Mzumbe na Ka GPA kake ka 4 (nadhani ndio kanampa kiburi)
Alivyomaliza chuo two years back nilimpambania akapata kasehemu ka kujishkiza huko kwenye viwanda vya wachina coz kuna jamaa angu alinifanyia maneuvers flani wakawa wanampa 500k ambayo haina makato yoyote coz wanamchukulia kama trainee tu.
Well baada ya kuona kila leo anahudhururia Dodoma kupiga paper za utumishi na bado hatoboi nikamshauri aweke nguvu zaidi kwenye private sector kuliko kupoteza resources huko utumishi. So last two weeks kuna mdau wangu mmoja yuko kampuni flani aliniambia ofisini kwao wanataka kijana muaminifu aliyesomea mambo ya kama huyu dogo wangu hivyo nimsaidie kutafuta nikamuambia ninae binamu yangu, tuka arrange kila kitu dogo kafanyiwa interview ya kizushi na akafanikiwa kupita.
So jana wamemtumia offer letter, wamemuambia atareport kwenye office zao zilizopo huko Mbeya na salary ni kama 1.5m gross dogo kasema hayuko tayari kwenda Mbeya kwa mshahara huo labda wambakishe hapa hapa Dar nimembembeleza dogo naona haelewi, nimewashirikisha wazazi wake naona pia hawajaelewana.
Sasa labda mnisaidie wakuu, huyu mtu mimi nimfanyaje maana pia ananiharibia sifa kwa yule jamaa angu aliyenipa hii ramani?
Wewe mwenyewe huna uwezo wa kuingiza hata laki 5 kwa mwezi ndio umtafutie mtu kazi ya 1.5m?Wakuu,naandika hii thread huku nikiwa na hasira za kufa mtu.
Kuna litoto la uncle wangu naishi nalo hapa ghetto,huyu mtu namuona kama sio mzima kichwani kabisa.
Kamaliza Mzumbe na Ka GPA kake ka 4 (nadhani ndio kanampa kiburi)
Alivyomaliza chuo two years back nilimpambania akapata kasehemu ka kujishkiza huko kwenye viwanda vya wachina coz kuna jamaa angu alinifanyia maneuvers flani wakawa wanampa 500k ambayo haina makato yoyote coz wanamchukulia kama trainee tu.
Well baada ya kuona kila leo anahudhururia Dodoma kupiga paper za utumishi na bado hatoboi nikamshauri aweke nguvu zaidi kwenye private sector kuliko kupoteza resources huko utumishi. So last two weeks kuna mdau wangu mmoja yuko kampuni flani aliniambia ofisini kwao wanataka kijana muaminifu aliyesomea mambo ya kama huyu dogo wangu hivyo nimsaidie kutafuta nikamuambia ninae binamu yangu, tuka arrange kila kitu dogo kafanyiwa interview ya kizushi na akafanikiwa kupita.
So jana wamemtumia offer letter, wamemuambia atareport kwenye office zao zilizopo huko Mbeya na salary ni kama 1.5m gross dogo kasema hayuko tayari kwenda Mbeya kwa mshahara huo labda wambakishe hapa hapa Dar nimembembeleza dogo naona haelewi, nimewashirikisha wazazi wake naona pia hawajaelewana.
Sasa labda mnisaidie wakuu, huyu mtu mimi nimfanyaje maana pia ananiharibia sifa kwa yule jamaa angu aliyenipa hii ramani?
Hamna cha maana ustaa mwingi kafika jijini, ushamba kibao anaona town anajikuta mtoto wa town ..Hajayajua Maisha dogo huyo.Au hiyo 500 isiyo na makato inamzuzua?
1.5
Kama alisoma na mkopo
Wanalamba almost laki 7 za statutory deduction.
Au ameona inayobaki ni sawa na ya muhindi 😂
hahahaWewe mwenyewe huna uwezo wa kuingiza hata laki 5 kwa mwezi ndio umtafutie mtu kazi ya 1.5m?
😂😂😂
JamiiForums bana
We acha tu....mpaka ID zitabadilishwa humu leo ili mtu ajipigie pande..Tang'ana atakoma leo [emoji38][emoji38]Wanavimba sana MMU eehee kumbe ni wenzetu tu [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Vijana wa Dar wanaona kama mikoani wanaishi nyani.
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] hahahahaWewe mwenyewe huna uwezo wa kuingiza hata laki 5 kwa mwezi ndio umtafutie mtu kazi ya 1.5m?
[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums bana
Ni jamaa wa kitambo hapa JF, nilikuwa naona nyuzi zake nyingi ni pumba tu,[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] hahahaha
Mkuu umejuaje? Unamjua? hahaa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ma jobless tupo mbonaEeeh shoga niulize maana mmmh[emoji848][emoji848]
Humu mi ninachojua kila mtu ana kazi nzuri, raaaaange, mansion, kula bataazz
Sasa maajabu nayaona leo full jobless[emoji848][emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app