my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Hahahaa[emoji1][emoji1]Usijiamini hivyo anaweza kukiletea zawadi picha zenu za zamani mkila tunda akakuharibia kila kitu
UmetishaUsijiamini hivyo anaweza kukiletea zawadi picha zenu za zamani mkila tunda akakuharibia kila kitu
Hawezi hana roho ngumu kiasi icho alafu mimi huwa sipigi picha nikiwa kitandaniUsijiamini hivyo anaweza kukiletea zawadi picha zenu za zamani mkila tunda akakuharibia kila kitu
Ningekua bado nampenda ningerudi kwakeMnapendana nyie bado
Yaliisha zamaniKuna kitu ndani kabisa ya moyo wangu yani ndani ndani kabisa kule kinaniambia bado unampenda huyo x wako.... Au basi!
Kifo chake ndo kilipangwa ivo hakuna wa kumuhukumu hapouNyie ndio huwa mnaharibikiwa mkifika huko. Kuolewa si Mwisho wa Maangaiko ... Wenzako wamepigwa bastola na Wanaumue wa Ndoto zao