Acha kuhangaika naye, jikite kwenye maandalizi yako ya harusi. Ndio maana wadau wanasema hujamtoa moyoni na atakupa tabu sana mbeleniNingekua bado nampenda ningerudi kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuhangaika naye, jikite kwenye maandalizi yako ya harusi. Ndio maana wadau wanasema hujamtoa moyoni na atakupa tabu sana mbeleniNingekua bado nampenda ningerudi kwake
Yanhekua yaliisha zamani usingeleta huu uzi. Bado unampenda. Na hata moyo wako unajua hivyo. Kama kweli kuna mpango wa ndoa(maana kuna uwezekano unatudanganya tu) basi Nampa pole huyo muoaji maana jinsi unavyo mpenda huyo x wako atasoma namba kwenye hiyo ndoa.Yaliisha zamani
Huyo kafurahia kuolewa tu,na wala mapenzi hana, mapenzi bado yako kwa x wake, ndiyo maana kila Jambo lake anataka x wake ajuwe,hata akitiwa Mimba na hawara atataka x wake ajuwe!!!!Usiongozwe na mihemko shogaangu. Huwezi kusema HE'LL DIE ALONE maana wewe sio Mungu. Kama wewe umempata chaguo lako, aliyekupa wewe atampa na yeye pia.
Shukuru umepata ukipendacho, ya kwake nayo mwachie mwenyewe! Ova
Tarehe 30 mwezi wa 7 naoana na mwanaume ambae ni wa ndoto zngu. Kabla ya kukutana na uyu mwanaume wa ndoto zngu apo nyuma nilikua na uhusiano na kaka mmoja asiejielewa.
Wakati tunaachana alinitolea mbovu na miapizo kibao. Asa nataka nimjulishe kua nipo na survive na nimempata mtu sahihi ambae aliniapiza sitokuja kumpata 😂
Ijumaa iliopita nimempelekea kadi. Natamani kuiona sura yake wakati anasoma kadi. He's a looser, he's alone and he'll die alone 🤦♀️ viapo vyote vimemrudia mwenyewe 🙃
Tarehe 30 mwezi wa 7 naoana na mwanaume ambae ni wa ndoto zngu. Kabla ya kukutana na uyu mwanaume wa ndoto zngu apo nyuma nilikua na uhusiano na kaka mmoja asiejielewa.
Wakati tunaachana alinitolea mbovu na miapizo kibao. Asa nataka nimjulishe kua nipo na survive na nimempata mtu sahihi ambae aliniapiza sitokuja kumpata [emoji23]
Ijumaa iliopita nimempelekea kadi. Natamani kuiona sura yake wakati anasoma kadi. He's a looser, he's alone and he'll die alone [emoji2356] viapo vyote vimemrudia mwenyewe [emoji854]
Umeua hata ya kukodii mamaeeKama ni mimi natokea kwa harusi na pisi kali kuliko wewe,
Kumbe unamjua ana roho njema lakini wewe ndio kiranga kabisa! Unajivua nguo mwenyewe na roho yako mbaya!!Hawezi hana roho ngumu kiasi icho alafu mimi huwa sipigi picha nikiwa kitandani
Kwa hiyo mto mada ametengeneza sextape? 🤣🤣🤣🤣🤣Usijiamini hivyo anaweza kukiletea zawadi picha zenu za zamani mkila tunda akakuharibia kila kitu
Ndio maana kwenye kikao chetu tumesema hakuna kuoa. Wanawake wanataka kuolewa watoe gundu tuuUnaolewa ili kumringishia ex wako
Natamani huyu x wake aione hii comment na aifanyie kazi. Amletee picha yuko orgasm naye ili upigwe talaka siku hiyo hiyo ya arusi hadharani!! Wanawake tutapata lini akili na kuepuka mihemko??Usijiamini hivyo anaweza kukiletea zawadi picha zenu za zamani mkila tunda akakuharibia kila kitu
Wanapiga siyo lazima wakuambie kuwa nakupiga picha,Hawezi hana roho ngumu kiasi icho alafu mimi huwa sipigi picha nikiwa kitandani
Huko ndoani uendako, yakikukuta magumu umtaarifu pia...!!Tarehe 30 mwezi wa 7 naoana na mwanaume ambae ni wa ndoto zangu. Kabla ya kukutana na huyu mwanaume wa ndoto zangu hapo nyuma nilikua na uhusiano na kaka mmoja asiejielewa.
Wakati tunaachana alinitolea mbovu na miapizo kibao. Asa nataka nimjulishe kua nipo na survive na nimempata mtu sahihi ambae aliniapiza sitokuja kumpata 😂
Ijumaa iliopita nimempelekea kadi. Natamani kuiona sura yake wakati anasoma kadi. He's a looser, he's alone and he'll die alone 🤦♀️viapo vyote vimemrudia mwenyewe.
View attachment 2251875
Picha kutoka Maktaba
Mmoja tu mitatu mingi tena chanzi kitakuwa kubanduana na x wake.Huyu apewe miaka 3 kabla hajaja kuomba ushauri!
Inaonekana my name is my name anajiamini sana kwenye suala la kupigwa picha.. Hawa ndo wale ambao akitumuwa/akipewa zawadi ya picha ya wakati ananyanduka atajiuwa ghafraWanapiga siyo lazima wakuambie kuwa nakupiga picha,