Nimempenda lakini hatufahamiani

Zehoes

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2015
Posts
505
Reaction score
336
Habari wakuu

Nimetokea kumpenda Binti wa kitanzania

Kuna siku nimejaribu kuongea naye.... Maongezi yalikuwa hivi

Zehoes :Mambo VIP?

Binti :safi!!!

Zehoes :Unaitwa nani??

Binti :staki

Zehoes :naomba namba za simu bidada

Binti :staki

Zehoes :mmmhh

Mwisho wa maongezi...


Nilijiona sina thamani lakini bado nampenda huyu Binti ...

Ombi langu kwenu mlionitangulia kuja mjini... Nahitaji Binti tufahamiane naye...Hivyo nipeni mautundu ya kufanya awe wangu....

Msinishambulie kwa mapovu jamani... Nipeni ushauri namna ya kumpata huyu
 
Ungempiga picha bila kujua alafu unamuonesha unamwambia zimetoka vizuri sana nikutumie ama nifute ... Hakikisha unapiga angle fulani hivi ya upande wa kulia ama kushoto uumbaji uonekane
 
Ungempiga picha bila kujua alafu unamuonesha unamwambia zimetoka vizuri sana nikutumie ama nifute ... Hakikisha unapiga angle fulani hivi ya upande wa kulia ama kushoto uumbaji uonekane
sawa nitajaribu kifanya hivyo
 
jina kakukatalia bado ukamuomba namba ya simu
hivi nyie wa mikoani mna matatizo gani ??

labda mmezoea kupigana ngwala vichakani kisha mnamalizana
Eti wa mikoani.. Huko uliko wewe syo mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…