Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kelele za nini humu na hakutaki??[emoji35]Naanzeje kumpa mtu kama huyo.. Hataki tufahamiane
aisee basi huwa namuona tu... syo zaidi ya hapo... hayo maongezi ni ya uso kwa machomi sijakuelewa hamfahamiani kwa maana hamjaonana au vipi? na kama hamkuonana mliongea kwa kutumia kifaa gani maana hapa unasema kakunyima namba ya simu. na jina
ufafanuzi tafadhali
endelea kumfatilia utampata.aisee basi huwa namuona tu... syo zaidi ya hapo... hayo maongezi ni ya uso kwa macho
Heeeeee.......haya jina langu ndo hilo hapowewe
Inaoneka wewe rubii wajiuza
Ili iweje kwa mfanonamba za simu pia... kama kwenye maongezi
Angalia usije kula za usosawa nitajaribu kifanya hivyo
Ndo tushafahamiana hapa inatosha......Ili tufahamiane
Haya kila la kherihahahaaa.....mi mwenyewe milaba minne
Hana,angekua na hela mambo yangekua yameshajipa wala asingefika huku kuja kulia lia kuomba msaadaUna hela?[emoji3]
Rubiikimimi[emoji85]