Nimempenda mfanyakazi mwenzangu lakini sheria za ofisi zinazuia mahusiano kazini. Nifanyaje na vyote navitaka?

Nimempenda mfanyakazi mwenzangu lakini sheria za ofisi zinazuia mahusiano kazini. Nifanyaje na vyote navitaka?

Black Butterfly

Senior Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
130
Reaction score
368
Natamani kumfungukia huyu binti lakini nakwama. Nimechanganyikiwa sana nifanye nini?! Je, nifuate moyo wangu na kudate na mfanyakazi mwenzangu au nimpoteze na kubaki bila furaha hapa kazini?

1662536199556.png

 
Natamani kumfungukia huyu binti lakini nakwama. Nimechanganyikiwa sana nifanye nini?! Je, nifuate moyo wangu na kudate na mfanyakazi mwenzangu au nimpoteze na kubaki bila furaha hapa kazini?
Umeshapewa option so chagua moja unaloona linakupa faraja kijana maisha ndio haya haya
 
Kwani kazini kwenu hua wanakagua nyeti zenu kama zimetumika?

Omba chezo acha uoga. Kwani mnatiania ofisini?

Yaani we ni too slow wahed!🤬
 
Ofisi gani hiyo wanayozuia workmates kudate?

Mkiwa ofisini ni wafanyakazi, mkiwa nyumbani ni wapenzi...
 
Natamani kumfungukia huyu binti lakini nakwama. Nimechanganyikiwa sana nifanye nini?! Je, nifuate moyo wangu na kudate na mfanyakazi mwenzangu au nimpoteze na kubaki bila furaha hapa kazini?
Make it official, uki declare mapenzi yenu maana yake mmoja wenu atahamishiwa kituo kingine cha kazi. Au ofisi ipo moja tu tz yote?
 
Kweli vijana wa siku hizi akili zimelala sana hilo nalo umeona uje utuletee huku tulijadili, acha umbumbu kuwa gentleman fanya mambo kiuweledi. Kwani mnatongozeana kwa ofisi, mnakulana kwa ofisi.

Mambo yenu fanyeni nje ya ofisi acha ufala siku nyingine uje na mada za maana.
 
Pole sana kwa kuchanyikiwa. Wahi mirembe aisee ukapate matibabu mapema iwezekanavyo.
 
Nimechanganyikiwa sana nifanye nini?

Kijana umekosa vya kukuchanganya....???.... Umri wako na kuwa Domo zege hilo ni tatizo kubwa...

Ushauri wangu: Haijalishi umempenda kiasi gani,,hakikisha unazipenda Pesa zako zaidi yake

Be a Man,, Stay Taliban.
 
Hizi ajira mpya hiz….znawapoteza sana vijana

Ukute hta mwaka hajamaliza[emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Kwani mkinyanduana mtaweka tangazo kuwa mnakulana, wewe vipi dogo? Fanya kitu roho inapenda maisha yenyewe mafupi. Kula mifupa kama bado meno iko.
 
Back
Top Bottom